Afya

Tanzania yahudumia zaidi ya 900 moyo, mifupa Zambia

WANANCHI zaidi ya 911  wamepata huduma za afya za kibingwa na bobezi kutoka Tanzania katika Maonesho ya Kilimo yaliyofanyika kuanzia…

Soma Zaidi »

Sudan yalia na mlipuko wa kipindupindu

GENEVA: SHIRIKA la Afya Duniani (WHO) limetangaza kuwa takribani watu 100,000 nchini Sudan wameambukizwa ugonjwa wa kipindupindu tangu mwezi Julai…

Soma Zaidi »

Lishe duni ni changamoto kaskazini

ARUSHA: LICHA ya mikoa ya Kanda ya Kaskazini kuwa na utoshelevu wa chakula lakini bado kunachangamoto kubwa ya udumavu ,utapiamlo…

Soma Zaidi »

Zaidi ya wananchi 10,000 wanufaika kambi ya upimaji

DAR ES SALAAM; WANANCHI zaidi ya 10,000 wamepatiwa matibabu bure katika kambi ya siku tatu ya upimaji wa afya na macho…

Soma Zaidi »

“Wenye kifafa wasitengwe”

DAR ES SALAAM: WATANZANIA wameshauriwa kuacha tabia ya kuwatenga watu wenye kifafa kwani wanapaswa kupata haki sawa kama wengine. Hayo…

Soma Zaidi »

45 wafanyiwa upasuaji kambi ya Imamu Hussein

DAR ES SALAAM; WANANCHI 45 waliokutwa na tatizo la mtoto wa jicho kwenye kambi ya matibabu ya Imamu Hussein (AS)…

Soma Zaidi »

41 watengenezwa mishipa kuchuja damu Mloganzila

DAR ES SALAAM: JUMLA ya watu 41 wamefanyiwa upasuaji wa kutengeneza mishipa ya kuchuja damu na wanne kupandikizwa figo katika…

Soma Zaidi »

JKCI kuanza upandikizaji wa moyo rasmi

DAR ES SALAAM: TAASISI ya Moyo ya Jakaya Kikwete (JKCI) imeanza rasmi mkakati maalum wa kufanikisha huduma za upandikizaji wa…

Soma Zaidi »

JKCI kuimarisha huduma tiba ya moyo nje ya Dar

DAR ES SALAAM; TAASISI ya Moyo ya Jakaya Kikwete (JKCI), imepanga kuongeza huduma za matibabu ya moyo kwa maeneo nje…

Soma Zaidi »

Tiba upandikizaji moyo Kuanzishwa JKCI

DAR ES SALAAM; TAASISI ya Moyo ya Jakaya Kikwete (JKCI), imeanza mikakati ya kupanua huduma zake ikiwa ni pamoja na…

Soma Zaidi »
Back to top button