Uchumi

Mkonge kuwafungulia neema wakulima Tanga

ZAIDI ya wakulima wa mkonge 5,000 mkoani Tanga watanufaika kwa kupata soko la uhakika la mazao yao na bei bora…

Soma Zaidi »

Madini Tanzania na historia katika dhahabu, ajira na mapato lukuki

UWEKEZAJI katika sekta ya madini umeendelea kuwa kichocheo muhimu cha ukuaji wa uchumi kwa nchi nyingi zinazoendelea, ikiwemo Tanzania. Kupitia…

Soma Zaidi »

Ushirikiano Tanzania, China kuibua fursa za ajira

SERIKALI kwa kushirikiana na Jumuiya ya Wafanyabiashara wa China wanaofanya shughuli zao nchini, imeingia makubaliano ya kutoa ajira kwa zaidi…

Soma Zaidi »

Sh Bil 2.5 kusaidia wajasiriamali ubunifu

Mradi wa ubunifu wa Fungo umetangaza fursa mbili za wajasiriamali na biashara endelevu, ambapo kiasi cha zaidi ya Sh bilioni…

Soma Zaidi »

ATCL kuongeza safari, kujiendesha kwa tija

DODOMA — Rais Samia Suluhu Hassan, amesema Shirika la Ndege la Tanzania (ATCL) litapanua wigo wa safari zake za kimataifa…

Soma Zaidi »

SGR yatengeneza ajira 9,376

DODOMA — Ajira za moja kwa moja 9,376 tayari zimezalishwa kupitia utekelezaji wa mradi wa reli ya kisasa ya SGR,…

Soma Zaidi »

Mkutano Mkuu ARSO waanza Zanzibar

ZAZNZIBAR; MKUTANO Mkuu wa 31 wa Shirika la Viwango la Afrika (ARSO) umeanza leo katika Hoteli ya Golden Tulip iliyoko…

Soma Zaidi »

Uchumi Zanzibar waimarika, Pato la Taifa lapaa

RAIS wa Zanzibar, Dk Hussein Mwinyi amesema Zanzibar imeimarika kutokana na utekelezaji wa malengo ya Serikali ya Awamu ya Nane…

Soma Zaidi »

Tanga ya nne uchangiaji Pato la Taifa

TANGA; MKUU wa Mkoa wa Tanga, Dk Batlida Burian, amesema kutokana na uwekezaji mkubwa uliofanywa na serikali, sasa mkoa huo …

Soma Zaidi »

Wachumi waeleza athari mgogoro wa Israel, Iran

WACHAMBUZI wa masuala ya uchumi wamesema mgogoro kati ya Israel na Iran unaoendelea unaweza kuleta athari za kuongezeka kwa mfumiko…

Soma Zaidi »
Back to top button