Uchumi

Tume ya Mipango yazitaka serikali za mitaa PPP

TUME ya Mipango imesema ni muhimu kushirikisha serikali za mitaa katika utekelezaji wa miradi kwa ubia katika sekta ya umma…

Soma Zaidi »

Kafulila atoa somo deni la taifa

MKURUGENZI wa Kituo cha Ubia kati ya Sekta ya Umma na Sekta Binafsi (PPP), David Kafulila amesema ingawa deni la…

Soma Zaidi »

Kagera wapania kuinua uzalishaji kahawa

MKOA wa Kagera ni miongoni mwa maeneo yenye historia ndefu ya kilimo cha kahawa, zao ambalo kwa sasa linaendelea kuchangia…

Soma Zaidi »

Kiwanda chachochea ujasiriamali mazao kwa vijana, wanawake

Julai 31, 2023 Makamu wa Rais, Dk Philip Mpango alizindua Kiwanda cha kwanza cha kusindika matunda na mbogamboga kinachofahamika kwa…

Soma Zaidi »

Vijana wajizatiti kilimo biashara cha alizeti

KILIMO cha biashara ni nguzo muhimu ya maendeleo ya kiuchumi kwa wakulima na taifa kwa ujumla. Hata hivyo, kilimo hicho…

Soma Zaidi »

Soko la nyama choma neema ajira 232

HALMASHAURI ya Jiji la Dar es Salaam imesema Soko la Nyama Choma Vingunguti litatoa ajira 232, zikiwemo 15 za kudumu.…

Soma Zaidi »

Wadau watakiwa kubuni mifumo jumuishi kifedha fursa dhahabu

DAR ES SALAAM: WADAU wa sekta ya madini nchini wametakiwa kubuni na kutekeleza mifumo jumuishi ya kifedha itakayowezesha kufungua fursa…

Soma Zaidi »

ATCL mguu sawa kuiunganisha Afrika

MKURUGENZI Mtendaji wa Kampuni ya Ndege Tanzania (ATCL), Peter Ulanga amesema katika miaka mitano ijayo anaiona ATCL ikiwa sehemu ya…

Soma Zaidi »

Utashi kisiasa utachagiza ukuaji wa uchumi Tanzania, Namibia

TANZANIA juzi imempokea Rais wa Namibia, Netumbo Nandi-Ndaitwah aliyefika nchini kwa ziara ya kikazi kwa mara ya kwanza tangu achaguliwe…

Soma Zaidi »

Rais wa Namibia ataja maeneo ya ushirikiano kimkakati

RAIS wa Namibia, Nemtumbo Nandi-Ndaitwah ametaja maeneo ya kimkakati ya ushirikiano kati ya nchi hiyo na Tanzania ili kukuza uchumi…

Soma Zaidi »
Back to top button