Uchumi

Miundombinu ya usafiri kuimarishwa Ukanda wa Kati Afrika

DAR ES SALAAM. SERIKALI ya Tanzania imeahidi kuendelea kuwekeza kwa nguvu katika miundombinu ya usafiri kwa lengo la kukuza biashara…

Soma Zaidi »

Samia awaita wawekezaji viwanda kuchakata pamba nchini

RAIS Samia Suluhu Hassan amewaomba wawekezaji wa viwanda vya kuchakata pamba wahakikishe wanatumia pamba inayolimwa nchini ili kuwapa wakulima soko…

Soma Zaidi »

Bandari ya Dar kuimarisha usafirishaji wa mazao

DODOMA — Naibu Waziri wa Uchukuzi, David Kihenzile, amesema kuwa Serikali imetenga eneo maalum kwa ajili ya kuboresha huduma za…

Soma Zaidi »

Rais Samia azindua kiwanda cha kuchakata pamba

Soma Zaidi »

Bei ya ufuta yawa tumaini la wadau

MSIMU kwanza wa mnada wa zao la biashara la ufuta kwa njia ya mfumo wa stakabadhi ghalani 2025/2026 umefunguliwa. Katika…

Soma Zaidi »

Malengo ya uchumi 2025/2026, mikakati kuongeza mapato

JUNI 12, 2025 Waziri wa Fedha, Dk Mwigulu Nchemba aliwasilisha Mapendekezo ya Serikali Kuhusu Makadirio ya Mapato na Matumizi kwa…

Soma Zaidi »

Mifugo, uvuvi inachangia 6% pato la taifa – Dk Nchimbi

SUMIYU: KATIBU wa Mkuu Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dk Emmanuel Nchimbi amesema Wizara ya Mifugo na Uvuvi inachangia asilimia…

Soma Zaidi »

Timu za MKUMBI II, Maboresho ya Kodi zakutana

KATIBU Mkuu wa Ofisi ya Rais, Mipango na Uwekezaji, Dk Tausi Kida, amezikutanisha Timu za Wataalamu wa Kuandaa Mpango wa…

Soma Zaidi »

Mbunge ahoji Kagera kutajwa mkoa Masikini

DODOMA; MBUNGE wa Viti Maalumu, Bernadetha Mushashu, amehoji sababu ya Mkoa wa Kagera kuwa miongoni mwa mikoa mitano ya mwisho…

Soma Zaidi »

Kaukau kutozwa ushuru

DODOMA; SERIKALI inakusudia kutoza ushuru wa bidhaa kwa kiwango cha Shilingi 50 kwa kilo ya crisps (kaukau)  zinazozalishwa nchini, na…

Soma Zaidi »
Back to top button