Uchumi

Majaliwa atoa maagizo sekta ya nyuki ikuze uchumi

WAZIRI Mkuu, Kassim Majaliwa ametoa maagizo manane ili kukuza sekta ya nyuki. Majaliwa ametoa maagizo hayo Dodoma wakati wa kilele…

Soma Zaidi »

Tanzania, Nambia kuimarisha ushirikiano wa kiuchumi

TANZANIA na Namibia zimekubaliana kuongeza nguvu katika ushirikiano wa kiuchumi. Rais Samia Suluhu Hassan amesema ingawa ushirikiano katika maeneo mengine…

Soma Zaidi »

Nafasi ya kilimo cha chai katika uchumi Tanzania

TANZANIA ni nchi ya pili kwa uzalishaji zao la chai Afrika ikitanguliwa na Kenya. Sekta ya chai ina wakulima wadogo…

Soma Zaidi »

Tuzo ya TRA ni fursa kwa wabunifu inayolenga suluhisho la kodi

“MTU yeyote anayetoa taarifa sahihi kuhusu mkwepaji wa kodi atazawadiwa kati ya Sh milioni 1 hadi 20. Hii inakuwa fursa…

Soma Zaidi »

Wakulima wa pamba ‘wanavyolia’ bei kupata tija

“HATA kama itatokea bei elekezi ya kununua zao la pamba kwa kilo moja itangazwe kuwa itanunuliwa kwa Sh 3,000, kama…

Soma Zaidi »

Kilimo himilivu; suluhu mabadiliko ya tabianchi

MABADILIKO ya tabianchi yamekuwa na athari kubwa kwa uzalishaji wa kilimo katika Mkoa wa Songwe, hususani  kwa wakulima wadogo wanaotegemea…

Soma Zaidi »

Tanzania yatajwa kinara kiuchumi

RAIS wa Finland, Alexender Stubb ameipongeza Tanzania kwa juhudi kubwa inazochukua kuboresha mazingira ya biashara na uwekezaji na kusema hatua…

Soma Zaidi »

SGR kusafirisha mizigo Dar-Dodoma Juni

DODOMA : WAZIRI wa Uchukuzi, Profesa Makame Mbarawa amesema Shirika la Reli Tanzania (TRC) limeanza maandalizi ya kusafirisha mizigo kwa…

Soma Zaidi »

Wizara ya Uchukuzi yaomba bajeti Tril.2.7

DODOMA: WAZIRI wa Uchukuzi, Profesa Makame Mbarawa ameliomba Bunge kuidhinisha bajeti ya zaidi ya Shilingi Trilioni 2.746 kwa ajili ya…

Soma Zaidi »

Majaliwa ateta na Waziri Mkuu wa Côte d’Ivoire

WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amekutana na Waziri Mkuu wa Côte d’Ivoire, Robert Beugre Mambe na kujadiliana naye masuala ya kidiplomasia,…

Soma Zaidi »
Back to top button