Uchumi

Waziri Mkuu aweka jiwe la msingi jengo la ‘Viwango House’

WAZIRI Mkuu, Kassim Majaliwa leo Juni 4 ameweka jiwe la msingi la ujenzi wa jengo la Shirika la Viwango Tanzania…

Soma Zaidi »

Sekta ya nyama na mwanga wa matumaini

SEKTA ya mifugo nchini inang’ara kwa matumaini mapya ya kiuchumi ikionesha ukuaji mkubwa unaochangia katika pato la taifa na kutoa…

Soma Zaidi »

Mwelekeo wa bajeti kwa mazao asilia ya biashara

“KATIKA mwaka 2025/2026 Wizara ya Kilimo itawawezesha wakulima kuongeza uzalishaji wa mazao asilia ya biashara ya pamba, kahawa, mkonge, korosho,…

Soma Zaidi »

Majaliwa akutana na Waziri Mkuu wa Japan

WAZIRI Mkuu, Kassim Majaliwa amekutana na Waziri Mkuu wa Japan, Ishiba Shigeru ambaye amemuhakikishia kuwa nchi hiyo itaendelea kuimarisha ushirikiano…

Soma Zaidi »

Tume ya Mipango yazitaka serikali za mitaa PPP

TUME ya Mipango imesema ni muhimu kushirikisha serikali za mitaa katika utekelezaji wa miradi kwa ubia katika sekta ya umma…

Soma Zaidi »

Kafulila atoa somo deni la taifa

MKURUGENZI wa Kituo cha Ubia kati ya Sekta ya Umma na Sekta Binafsi (PPP), David Kafulila amesema ingawa deni la…

Soma Zaidi »

Kagera wapania kuinua uzalishaji kahawa

MKOA wa Kagera ni miongoni mwa maeneo yenye historia ndefu ya kilimo cha kahawa, zao ambalo kwa sasa linaendelea kuchangia…

Soma Zaidi »

Kiwanda chachochea ujasiriamali mazao kwa vijana, wanawake

Julai 31, 2023 Makamu wa Rais, Dk Philip Mpango alizindua Kiwanda cha kwanza cha kusindika matunda na mbogamboga kinachofahamika kwa…

Soma Zaidi »

Vijana wajizatiti kilimo biashara cha alizeti

KILIMO cha biashara ni nguzo muhimu ya maendeleo ya kiuchumi kwa wakulima na taifa kwa ujumla. Hata hivyo, kilimo hicho…

Soma Zaidi »

Soko la nyama choma neema ajira 232

HALMASHAURI ya Jiji la Dar es Salaam imesema Soko la Nyama Choma Vingunguti litatoa ajira 232, zikiwemo 15 za kudumu.…

Soma Zaidi »
Back to top button