Featured

Featured posts

Simbu aiheshimisha Tanzania, Samia ampongeza

RAIS Samia Suluhu Hassan amempongeza mwanariadha, Alphonce Simbu kwa kuiwezesha Tanzania kupata medali ya kwanza ya dhahabu katika Mashindano ya…

Soma Zaidi »

CCM yakosa upinzani majimbo saba Geita

GEITA: CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) mkoani Geita kimeweka wazi kuwa wagombea ubunge wa chama hicho kwenye majimbo saba ya uchaguzi…

Soma Zaidi »

CCM yaahidi stendi ya kisasa Mwanga

MWANGA, Kilimanjaro: CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) kimewaahidi wakazi wa Wilaya ya Mwanga mkoani Kilimanjaro, kuwa kikipata ridhaa ya kuwa madarakani…

Soma Zaidi »

Mndeme aahidi sera nzuri uwekezaji, ajira kwa vijana

KIGAMBONI, Dar es Salaam: MGOMBEA ubunge Jimbo la Kigamboni kupitia chama cha ACT – Wazalendo, Mwanaisha Mndeme ameahidi iwapo atapewa…

Soma Zaidi »

Sumaye amsifu Dk Samia

SIHA, Kilimanjaro: WAZIRI Mkuu Mstaafu na Mratibu wa Uchaguzi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Kanda ya Kaskazini, Fredrick Sumaye amesema…

Soma Zaidi »

Wasira aongoza kampeni Kalenga

IRINGA: Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Tanzania Bara, Stephen Wasira, ameongoza uzinduzi wa kampeni za uchaguzi katika Jimbo…

Soma Zaidi »

Mkakati wa kitaifa unahitajika kukabili vitendo vya kujiua

TATIZO la watu kujiua limeendelea kuitesa jamii na Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH) imethibitisha hali hiyo wakati wa maadhimisho ya…

Soma Zaidi »

Mpina sasa kugombea urais

MAHAKAMA Kuu ya Tanzania Masijala Kuu Dodoma imeamuru Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC) kutoa fursa kwa mgombea urais…

Soma Zaidi »

Wakulima wa tumbaku waahidiwa neema

MGOMBEA urais kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Samia Suluhu Hassan ameahidi kuwa serikali yake itaongeza kampuni za kununua tumbaku ya…

Soma Zaidi »

Bandari yachangia 40% Pato la Taifa

WIZARA ya Uchukuzi imesema sekta ya usafirishaji kupitia bandari inachangia asilimia 40 ya mapato ya nchi. Pia, imesema serikali ina…

Soma Zaidi »
Back to top button