Featured

Featured posts

TLP kujenga kambi za wazee 2,000 kila mkoa

CHAMA cha Tanzania Labour (TLP) kimesema kikipata ushindi katika Uchaguzi Mkuu serikali yake itajenga kambi za kutunza wazee kwenye kila…

Soma Zaidi »

Samia aahidi uchumi imara Singida

MGOMBEA urais kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Samia Suluhu Hassan amesema wananchi wakimchagua serikali ya chama hicho itatekeleza miradi itakayofungua…

Soma Zaidi »

FCC yawavuta wawekezaji IATF

ALGIERS, ALGERIA: Tanzania imejipambanua kama nchi salama na yenye ushindani katika kuvutia uwekezaji kwenye Maonesho ya Biashara ya Kimataifa Barani…

Soma Zaidi »

COP30 iwe muarobaini wa ukame, mafuriko EAC

NOVEMBA mwaka huu dunia itakutana nchini Brazil kwenye Mkutano wa 30 wa Nchi Wanachama wa Mkataba wa Umoja wa Mataifa…

Soma Zaidi »

Samia aacha ahadi 4 Nyanda za Juu Kusini

MGOMBEA wa urais kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Samia Suluhu Hassan amefanya mikutano 11 ya kampeni katika mikoa ya Nyanda…

Soma Zaidi »

ADC kufuta malipo kumuona daktari

CHAMA cha Alliance for Democratic Change (ADC) kimesema serikali yake itafuta utaratibu wa mgonjwa kulipa fedha za kumuona daktari katika…

Soma Zaidi »

Balozi, bosi Sonatrach wateta fursa za uwekezaji sekta ya mafuta, gesi asilia

Algiers, Algeria: Balozi wa Tanzania nchini Algeria, Iman Njalikai amekutana na kufanya mazungumzo na mwenyekiti na mkurugenzi mtendaji wa Kampuni…

Soma Zaidi »

Watuhumiwa 940 dawa za kulevya mbaroni

DAR ES SALAAM: MAMLAKA ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya (DCEA) imekamata kilo 33,077 za dawa za kulevya…

Soma Zaidi »

Rais Mwinyi : Kampeni za CCM zinaonesha taswira ya ushindi

ZANZIBAR : RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, ambaye pia ni Makamu Mwenyekiti wa CCM Zanzibar ,…

Soma Zaidi »

Dk Samia kuendelea na kampeni kesho Singida

SINGIDA: Mgombea kiti cha rais kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM) Rais Dk Samia Suluhu Hassan kesho anatarajia kuanza kunadi sera…

Soma Zaidi »
Back to top button