Infographics

COPRA yakabidhi tani 1.5 za mbegu ya kisasa Mwanza

MWANZA: MAMLAKA ya Udhibiti wa Nafaka na Mazao Mchanganyiko (COPRA) imekabidhi Mbegu ya kisasa ya Choroko tani moja na nusu…

Soma Zaidi »

“Michezo muhimu kwa afya”

MOROGORO: WANAMICHEZO 636 kutoka Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari Tanzania na taasisi nyingine zinazohusiana na bandari wameshiriki michezo mbalimbali (Interports…

Soma Zaidi »

NECTA imechukua uamuzi sahihi maarifa lugha za kigeni

BARAZA la Mitihani la Tanzania (NECTA) limeandika ukurasa mpya katika historia ya elimu nchini kwa kujumuisha lugha za kigeni katika…

Soma Zaidi »

Serikali yatafuta wawekezaji bandari zote

KITUO cha Ubia kati ya Sekta ya Umma na Binafsi (PPPC) kimesema serikali inatafuta wawekezaji kwa ajili ya kuwekezakatika bandari…

Soma Zaidi »

Mongella : Kiongozi wa Maono,Usawa wa Kijinsia

KATIKA historia ya Tanzania na Bara la Afrika kwa ujumla, majina machache yamebaki kuwa alama ya mapambano ya wanawake na…

Soma Zaidi »

ADC yaahidi kuruhusu uraia pacha

MGOMBEA Urais kwa tiketi ya Chama Cha Allience For Democratic Change (ADC), Wilson Mulumbe ameahidi iwapo atachaguliwa kushika dora katika…

Soma Zaidi »

CCM yaja na mpango kuboresha barabara Moro

MOROGORO: CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) kimeahidi kuwa endapo kikipata ridhaa ya kuongoza tena miaka mitano ijayo, kitaanza kusuka upya miundombinu…

Soma Zaidi »

Majaliwa: Serikali itaendelea kufanya mageuzi sekta ya kilimo

WAZIRI Mkuu, Kassim Majaliwa amesema kuwa Serikali imedhamiria kuendelea kufanya mageuzi katika sekta ya kilimo ili kuhakikisha Tanzania inaendelea kuwa…

Soma Zaidi »

Dk Mpango: Tulinde amani kumuenzi Nyerere

MAKAMU wa Rais, Dk Philip Mpango amesema ni muhimu Watanzania walinde amani kumuenzi Baba wa Taifa, Julius Nyerere. Dk Mpango…

Soma Zaidi »

Sirro ahimiza masomo ya sayansi sekondari

KIGOMA: Mkuu wa Mkoa wa Kigoma, Balozi Simon Sirro amewataka wazazi mkoani Kigoma kuhamasisha watoto wao kuyapenda masomo ya sayansi…

Soma Zaidi »
Back to top button