Infographics

Sirro ataka juhudi zaidi vita dhidi ya ukatili

KIGOMA; MKUU wa mkoa Kigoma, Balozi Simon Sirro ameyataka mashirika yasiyo ya kiserikali mkoani Kigoma kuongeza juhudi katika kushughulikia masuala…

Soma Zaidi »

Waratibu Tasaf kusimamia fedha za miradi

TANGA: Waratibu wa Mfuko wa Maendeleo ya Jamii (TASAF) mkoani Tanga wametakiwa kusimamia miradi ya miundombinu inayotekelezwa na mradi huo…

Soma Zaidi »

Umoja vituo, klabu za mazoezi waanzishwa Arusha

ARUSHA: KLABU na vituo vya mazoezi jijini Arusha zimeazimia kuanzisha umoja wenye lengo la kuongeza Ushirikiano katika kuhamasisha na kuiongoza…

Soma Zaidi »

Chalamila: dini, siasa haviwezi kutengana

DAR: Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Albert Chalamila amesema kuwa siasa na dini ni taasisi zinazogusa maisha ya…

Soma Zaidi »

Dk Mwinyi apatiwa maelezo utekelezaji nishati safi

DAR ES SALAAM: Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk Hussein Ali Mwinyi leo 7 Julai, 2025…

Soma Zaidi »

Longido watoa mil 198/- vijana kujikwamua

ARUSHA: JUMLA ya Sh milioni 198 zimetolewa na Halmashauri ya Wilaya ya Longido mkoani Arusha kwa ajili ya vijana kujikwamua…

Soma Zaidi »

Waislamu washauriwa kutumia Ashura kupinga ukatili

TANGA: Waislamu nchini wametakiwa kuitumia siku ya Ashura kupinga na kukemea vitendo vya ukatili wa kijinsia vinavyoendelea katika jamii.  …

Soma Zaidi »

WanaCCM Kata Arumeru warudisha vyakula, mali

BAADHI ya wanachama wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Kata ya Ambureni Jimbo la Meru Wilayani Arumeru mkoani Arusha ambao ni…

Soma Zaidi »

Wadau wahamasishwa vivutio vipya kuchochea utalii

DUBAI: Wadau wa sekta ya utalii nchini wamehimiza uboreshaji na ubunifu wa vivutio vipya vya kisasa ili kuongeza mchango wa…

Soma Zaidi »

Watumishi Ujenzi wafundwa maadili utunzaji siri

ARUSHA: KATIBU Tawala wa Wilaya ya Arusha, Jacob Rombo amewataka watumishi wa Wizara ya Ujenzi kuzingatia maadili ya kutunza siri…

Soma Zaidi »
Back to top button