Infographics

DC Ileje ahamasisha ushiriki wa uchaguzi

SONGWE: Mkuu wa Wilaya ya Ileje, Farida Mgomi, ameendelea kutoa hamasa kwa wananchi wa wilaya kujitokeza kwa wingi kushiriki katika…

Soma Zaidi »

JKT wasisitiza kuiunga mkono JKT Queens

MISRI: Mkuu wa JKT, Meja Jenerali Rajabu Mabele amewataka watanzania kuiunga mkono timu ya JKT Queens inayokwenda kuliwakilisha taifa na…

Soma Zaidi »

Kihenzile: Kura kwa Dk Samia na CCM ni maendeleo, matumaini mapya

Na Frank Leonard, Mufindi Mgombea Ubunge wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Jimbo la Mufindi Kusini, David Kihenzile, ameongoza mamia ya wananchi…

Soma Zaidi »

MNRT Saccos yatoa Sh bil 1.2 ya mikopo mwaka mmoja

DODOMA: Chama cha Ushirika wa Akiba na Mikopo cha (MNRT SACCOS LTD) kilicho chini ya Wizara ya Maliasili na Utalii…

Soma Zaidi »

Kuhani Baraka: Kura yako ni nguvu yako, amani ndio nguzo ya taifa

MKUU wa Kanda ya Kusini wa Kanisa la Siloamu, Kuhani Baraka Zabwana Elia, ametoa wito kwa Watanzania wote wenye sifa…

Soma Zaidi »

Makonda amsifu Dk Samia utunzaji amani

Na Rehema Lugono,Arusha MGOMBEA wa Jimbo la Arusha Mjini kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM),Paul Makonda amesema mgombea wa urais kupitia…

Soma Zaidi »

Makarani waapishwa uchaguzi mkuu

MTWARA: MAKARANI waongozaji wapiga kura zaidi ya 600 wameapishwa katika Jimbo la Tandahimba mkoani Mtwara kuelekea uchaguzi mkuu unaotarajiwa kufanyika…

Soma Zaidi »

Mwanza wahimiza uchaguzi wa amani

Zikiwa zimesalia siku nne kufanyika kwa uchaguzi mkuu, Oktoba 29, 2025, makundi mbalimbali yamekusanyika mkoani Mwanza kuhimiza wananchi kujitokeza huku…

Soma Zaidi »

JMAT yasisitiza vijana kudumisha amani

MRATIBU Jumuiya ya Maridhiano na Amani Tanzania (JMAT) na Balozi wa Amani Taasisi ya Wanawake Nchini Korea Kusini ,Fatma Fredrick…

Soma Zaidi »

Bandari Zanzibar mabingwa wapya wa soka ‘interpplort games 2025’

TIMU ya soka ya Shirika la Bandari Zanzibar (ZPC),imetwaa ubingwa wa Michezo ya 18 ya Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari…

Soma Zaidi »
Back to top button