Infographics

Mashindano ya Masauni & Seif Cup yaanza Zanzibar

ZANZIBAR: Naibu Waziri wa Habari, Sanaa, Utamaduni na Michezo Zanzibar, Ali Abdulgulam Hussein amesema serikali itaendelea kuwekeza katika miundombinu ya…

Soma Zaidi »

TAMISEMI yaibeba ajenda kilimo na ardhi Colombia

COLOMBIA: WAZIRI wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI)  Prof. Riziki Shemdoe, ameongoza…

Soma Zaidi »

Sanga akagua miradi Kigamboni

DAR ES SALAAM: Mbunge wa Jimbo la Kigamboni, Haran Sanga, amekagua miradi mbalimbali ya maendeleo inayoendelea kutekelezwa katika jimbo hilo,…

Soma Zaidi »

Bosi Tanesco akagua miradi ya umeme Simiyu

DAR ES SALAAM: Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Umeme (TANESCO), Lazaro Twange, amefanya ziara ya ukaguzi wa miradi ya umeme…

Soma Zaidi »

Serikali yapiga marufuku taarifa zake kwenye mitandao binafsi

SERIKALI imepiga marufuku matumizi ya mitandao binafsi zikiwemo baruapepe, WhatsApp, Instagram, You Tube, Facebook kutuma nyaraka na taarifa za serikali.…

Soma Zaidi »

Vifaa tiba vya Mil 183/- kusaidia upasuaji rekebishi MNH

HOSPITALI ya Taifa ya Muhimbili (MNH) imepokea vifaa tiba vyenye thamani ya Sh milioni 183 kutoka Shirika la Operation Smile…

Soma Zaidi »

Samia agusa maisha ya Watanzania kupitia Bima yaAfya

RAIS Samia Suluhu Hassan amefanya uamuzi makini wakubadili ahadi aliyotoa wakati wa kampeni zake kuwania uraiskwa kipindi cha pili na…

Soma Zaidi »

Samia azungumza na wanahabari juu ya kutokomeza malaria

RAIS Samia Suluhu Hassan akizungumza na wanahabari juu ya ufadhili endelevu wa kutokomeza Malaria pembezoni mwa Mkutano wa Wakuu wa…

Soma Zaidi »

‘Kutotekelezwa matakwa sheria ya PDPA ni hatari ‘

MKURUGENZI Mkuu wa Tume ya Ulinzi wa Taarifa Binafsi (PDPC), Dk. Emmanuel Lameck Mkilia, amesisitiza kuwa kutotekeleza matakwa ya Sheria…

Soma Zaidi »

Mwigulu atoa maelekezo hoja za wabunge miradi ya maendeleo

DODOMA; SERIKALI imesema imefuatilia kwa makini mijadala ya wabunge na kuwa hoja zao zimeonesha wazi kuunga mkono juhudi kubwa za…

Soma Zaidi »
Back to top button