Infographics

Wananchi wataka kituo cha afya Kandaga kikamilike

KIGOMA: Mabalozi na wananchi wa kata ya Kandaga Halmashauri ya Wilaya Uvinza mkoani Kigoma wameiomba serikali kukamilisha mradi wa kituo…

Soma Zaidi »

DC Tandahimba ahimiza usajili wa wakazi

MTWARA: MKUU wa Wilaya ya Tandahimba, Michael Mntenjele amewaomba madiwani pamoja na viongozi wengine wilayani humo kuendelea kuwakumbusha wananchi na…

Soma Zaidi »

Samia ashiriki uzinduzi Global Africa Investment Summit

RAIS Samia Suluhu Hassan ameshiriki uzinduzi wa Global Africa Investment Summit (GAIS) jijini Dubai, Muungano wa Falme za Kiarabu (UAE),…

Soma Zaidi »

Mashauri 326 ya mirathi yakamilika Morogoro

MOROGORO: MAHAKAMA Kuu Kanda ya Morogoro imeweka kupaumbele katika usikilizaji wa mashauri ya mirathi kwa kuunda kamati ya ufuatiliaji wa…

Soma Zaidi »

Makadirio bajeti ya serikali 2026/27 Sh Tril 61

DODOMA; BAJETI ya Seikali kwa mwaka 2026/27, nakadiriwa kuwa Sh Tril 61, Bunge limeelezwa. – Hayo yamesemwa bungeni leo Februari…

Soma Zaidi »

Amani, demokrasia vyatajwa ufanisi Mpango Maendeleo

DODOMA; SERIKALI imesema ufanisi wa utekelezaji wa Mpango wa Maendeleo wa Taifa kwa mwaka 2026/27 utajengwa katika misingi mbalimbali ikiwemo…

Soma Zaidi »

Mawaziri kuwasilisha utekelezaji kila miezi 3

DODOMA; SERIKALI imesema imeandaa mfumo wa ufuatiliaji na upimaji unaozingatia kupima matokeo na uwajibikaji. Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais…

Soma Zaidi »

Wanafunzi vyuo vikuu washauriwa lishe bora

MOROGORO: MBUNGE wa Viti Maalumu Mkoa wa Morogoro, Lucy Kombani amewashauri wanafunzi wa vyuo vikuu kuzingatia ulaji wa vyakula vyenye…

Soma Zaidi »

“Natoa miezi 6 wenye vibanda wachukue hatua”

SHINYANGA: DIWANI wa Kata ya Malunga Manispaa ya Kahama mkoani Shinyanga, Ahamed Haruna ametoa miezi sita kwa wananchi waliofunga mikataba…

Soma Zaidi »

Serikali kuifungua Pemba kiutalii

ZANZIBAR: Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii Tanzania, Hamad Hassan Chande amesema Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa…

Soma Zaidi »
Back to top button