Infographics

Rais Mwinyi aongoza kikao kazi cha viongozi wa serikali

ZANZIBAR : RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk. Hussein Ali Mwinyi, ameongoza Kikao Kazi kilichowajumuisha Mawaziri,…

Soma Zaidi »

New York Times yapotosha uhalisia vurugu za uchaguzi

GAZETI la New York Times la Marekani limeandika taarifa inayopotosha ukweli kuhusu vurugu wakati na baada ya Uchaguzi Mkuu wa…

Soma Zaidi »

MOI, India watengeneza miguu bandia kwa Watanzania 600

TAASISI ya Tiba ya Mifupa na Ubongo Muhimbili (MOI) kwa kushirikiana na Ubalozi wa India nchini Tanzania kupitia Taasisi ya…

Soma Zaidi »

Tanzania, UNDCF kuendelea kushirikiana LoCAL II

SHIRIKA la Maendeleo ya Mfuko wa Mkuu wa Umoja wa Mataifa (UNDCF) limekubali kuendelea kushirikiana na Tanzania katika kutekeleza Programu…

Soma Zaidi »

Kazi na utu ndio mtihani wa mawaziri

KUAPISHWA kwa mawaziri na naibu mawaziri jana ni hatua muhimu katika safari ya kuijenga Tanzania yenye ufanisi, umoja na maendeleo.…

Soma Zaidi »

UDSM yamtunuku Dk Maria Kamm shahada ya heshima

DAR ES SALAAM: CHUO Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM) kimemtunuku Shahada ya Heshima ya Udaktari wa Fasihi Mwasisi na…

Soma Zaidi »

Samia ataka nidhamu kidato cha 4

RAIS Samia Suluhu Hassan amewatakia heri wanafunzi 595,816 wa kidato cha nne waliotarajiwa kuanza mtihani wa kuhitimu elimu ya sekondari…

Soma Zaidi »

Rais Samia afungua Bunge 13

DODOMA: RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Samia Suluhu Hassan, leo Novemba 14 amefungua rasmi Bunge la Kumi…

Soma Zaidi »

Serikali kuongeza bajeti ya TARURA

RAIS Samia Suluhu Hassan amesema serikali itaongeza bajeti na uwezo wa Wakala ya Barabara za Mijini (TARURA) kuboresha Barabara za…

Soma Zaidi »

Vijana watakiwa kuitunza amani

DODOMA: RAIS Samia Suluhu Hassan amewataka vijana kuendelea kuitunza amani ya Tanzania na kwamba wasikubali kuiharibu nchi yao. Rais Samia…

Soma Zaidi »
Back to top button