Kimataifa

Araqchi: Tupo tayari tukiona nia njema

TEHRAN: WAZIRI wa Mambo ya Nje wa Iran, Abbas Araqchi, amesema nchi yake iko tayari kurejea kwenye mazungumzo ya mkataba…

Soma Zaidi »

Guterres apinga udhibiti wa Gaza

NEW YORK : KATIBU Mkuu wa Umoja wa Mataifa, António Guterres ametoa wito kwa Israel kuachana na mpango wake wa…

Soma Zaidi »

Njaa yazidisha utapiamlo Afrika

LONDON: SHIRIKA la kimataifa la hisani kwa watoto, Save the Children, limesema kuwa takribani nchi nne za Afrika zinatarajiwa kukumbwa…

Soma Zaidi »

NIGER kuzalisha umeme wa nyuklia

NIGER : SERIKALI ya Urusi imeahidi kujenga kituo cha umeme wa nyuklia nchini Niger, taifa linaloongoza kwa urani barani Afrika…

Soma Zaidi »

DRC, Rwanda zakubaliana kurejesha wakimbizi

DR CONGO : SHIRIKA la Umoja wa Mataifa la Wakimbizi (UNHCR) limesema DRC na Rwanda zimekubaliana kuwarejesha makwao wakimbizi walioathiriwa…

Soma Zaidi »

Mazungumzo ya nyuklia Iran yapwaya

GENEVA : MAZUNGUMZO ya nyuklia kati ya Iran na mataifa ya Ulaya,Ujerumani, Uingereza na Ufaransa yamehitimishwa mjini Geneva bila makubaliano.

Soma Zaidi »

Ulaya yajipanga kuongeza vikwazo

BERLIN : KANSELA wa Ujerumani, Friedrich Merz, amemtuhumu Rais Vladmir Putin kwa kuchelewesha makusudi mazungumzo ya amani na Ukraine.

Soma Zaidi »

Mapafu ya nguruwe kupandikizwa binadamu

GUANGZHOU:MADAKTARI Bingwa nchini China wamefanikiwa kupandikiza mapafu kutoka kwa nguruwe kwenda kwa binadamu.

Soma Zaidi »

Mali, Burkina Faso wasusia kikao cha ulinzi

NIGERIA : BURKINA Faso na Mali zimegoma kupeleka  wawakilishi wake katika mkutano wa kijeshi wa bara la Afrika unaoendelea jijini…

Soma Zaidi »

Mlanguzi wa dawa za kulevya akamatwa

MEXICO: ALIYEKUWA kiongozi wa magendo nchini Mexico, Ismael “El Mayo” Zambada, amekiri kushiriki katika vitendo vya ulanguzi wa dawa za…

Soma Zaidi »
Back to top button