Kimataifa

Watoa misaada 383 wauawa 2024

NEW YORK, MAREKANI: UMOJA wa Mataifa umesema wafanyakazi 383 wa mashirika ya kutoa misaada waliuawa katika maeneo ya mapigano duniani…

Soma Zaidi »

Ujerumani kuwapokea wakimbizi 942

BERLIN, UJERUMANI: SERIKALI ya Ujerumani imesema imewapokea wakimbizi 942 kutoka nchi mbalimbali duniani kwa mwaka huu kupitia mpango wa Umoja…

Soma Zaidi »

Mauaji mapya ya ADF yatikisa DRC

DR CONGO: UMOJA wa Mataifa umesema takriban raia 52 wameuawa na waasi wa ADF katika mashambulizi yaliyotokea hivi karibuni Kaskazini…

Soma Zaidi »

Hamas yakubali kusitisha vita Gaza

GAZA, PALESTINA: KUNDI la Hamas limetangaza kukubali pendekezo jipya la kusitisha vita kwa muda mfupi katika Ukanda wa Gaza.

Soma Zaidi »

Putin, Zelensky wakubaliana kukutana

WASHINGTON DC: MARAIS wa Urusi na Ukraine wamekubaliana kufanya mazungumzo ya amani, hatua ambayo ni ya kwanza tangu Urusi iivamie…

Soma Zaidi »

Boti ya abiria yazama ,10 wako salama

NIGERIA : ZAIDI ya watu 40 hawajulikani waliko baada ya boti ya abiria kuzama Jumapili, Agosti 17, 2025, nchini Nigeria.

Soma Zaidi »

Iran kuendeleza mazungumzo IAEA

TEHRAN : SERIKALI ya Iran imesema itaendelea na mazungumzo na Shirika la Kudhibiti Nyuklia la Umoja wa Mataifa (IAEA), licha…

Soma Zaidi »

Mazoezi ya kijeshi yaiva Seoul

SEOUL : KOREA KUSINI kwa kushirikiana na Marekani wameanza mazoezi makubwa ya kijeshi ya pamoja yanayolenga kukabiliana na vitisho vya…

Soma Zaidi »

Rasimu ya amani yawasilishwa DRC

DOHA : RASIMU ya makubaliano ya amani kati ya Serikali ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC) na waasi wa…

Soma Zaidi »

Watu 300 wapoteza maisha Pakistan

ISLAMABAD : IDADI ya vifo imefikia karibu watu 300 kufuatia mafuriko makubwa yaliyosababisha kuporomoka kwa majengo katika Wilaya ya Buner,…

Soma Zaidi »
Back to top button