Kimataifa

Syria yataka amani

DAMASCUS : RAIS wa Syria, Ahmed al-Sharaa, amesema juhudi za kuunganisha taifa hilo baada ya vita vya wenyewe kwa wenyewe…

Soma Zaidi »

Ursula,Zelensky kuungana Marekani

WASHINGTON DC : VIONGOZI wa mataifa ya Ulaya wanatarajiwa kuungana na Rais Volodymyr Zelensky wa Ukraine leo Jumatatu nchini Marekani…

Soma Zaidi »

Tanzania yapongezwa juhudi za amani SADC

TANZANIA imepongezwa kwa utendaji mzuri wa kushughulikia changamoto za kiusalama katika Kanda ya Nchi Wanachama wa Jumuiya ya Maendeleo Kusini…

Soma Zaidi »

Watu 40 wapoteza maisha Darfur

DARFUR, SUDAN : SHIRIKA la Madaktari Wasio na Mipaka (MSF) limeripoti kuwa takriban watu 40 wamefariki dunia katika eneo la…

Soma Zaidi »

Juba yakanusha kuwapokea Wapalestina

JUBA, SUDAN KUSINI : WIZARA ya Mambo ya Nje ya Sudan Kusini imekanusha ripoti zinazodai kuwa imefanya mazungumzo na Israel…

Soma Zaidi »

Ushuru Marekani, Brazil yachukua hatua

SERIKALI ya Brazil imezindua mpango wa kuyaunga mkono makampuni ya ndani yaliyoathiriwa na ushuru wa asilimia 50 uliotangazwa na Rais…

Soma Zaidi »

Marekani yaitaka Urusi kusitisha mapigano

MAREKANI : RAIS wa Marekani, Donald Trump, ametishia kuchukua hatua kali dhidi ya Rais wa Urusi, Vladimir Putin, endapo hatokubaliana…

Soma Zaidi »

EU yatishia kuiwekea vikwazo Iran

GENEVA : UFARANSA na Ujerumani zimeonya zitarudisha vikwazo vya Umoja wa Mataifa dhidi ya Iran iwapo suluhu la kidiplomasia halitapatikana…

Soma Zaidi »

Marekani yaidhibiti Pareco-FF

WASHINGTON DC : MAREKANI imeliwekea vikwazo kundi lenye silaha nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo linaloshutumiwa kwa uchimbaji haramu wa…

Soma Zaidi »

Joto kali Ulaya laua watatu

LONDON, UINGEREZA : WATU watatu wamefariki dunia na maelfu kulazimika kuyahama makazi yao kutokana na mioto ya nyika inayosababishwa na…

Soma Zaidi »
Back to top button