Kimataifa

UN yataka uchunguzi machafuko Angola

LUANDA, ANGOLA : UMOJA wa Mataifa umetaka kufanyika uchunguzi wa haraka, wa kina na huru kufuatia machafuko ya siku mbili…

Soma Zaidi »

Rwanda, DRC waanza kutekeleza makubaliano ya amani

WASHINGTON, MAREKANI : RWANDA na Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC) zimekutana kwa mara ya kwanza katika kikao cha Kamati…

Soma Zaidi »

Iran yatoa masharti mapya ya Nyuklia

TEHRAN, IRAN : WAZIRI wa Mambo ya Nje wa Iran, Abbas Araqchi, amesema Marekani inapaswa kulipa fidia kwa hasara iliyosababishwa…

Soma Zaidi »

M23 Yatuhumiwa Kuua 169 DRC

KINSHASA, DRC : UMOJA wa Mataifa umesema kuwa watu 169 wameuawa mwanzoni mwa mwezi huu kufuatia mashambulizi yaliyofanywa na waasi…

Soma Zaidi »

Zelensky: Mali za Urusi Zitaifishwe

KIEV, UKRAINE : RAIS wa Ukraine, Volodymyr Zelensky, ametoa wito kwa mataifa ya Magharibi kutaifisha mali zote za Urusi zilizozuiwa,…

Soma Zaidi »

Bei ya mafuta yazua ghasia Angola

LUANDA, ANGOLA : TAKRIBAN watu 22, wakiwemo raia na afisa wa polisi, wamefariki dunia huku wengine zaidi ya 200 wakijeruhiwa…

Soma Zaidi »

Canada kuunga mkono Palestina

OTTAWA,CANADA : WAZIRI Mkuu wa Canada, Mark Carney, ametangaza kuwa nchi yake inapanga kulitambua rasmi Taifa la Palestina katika Baraza…

Soma Zaidi »

Marekani yaitwisha India ushuru mpya

WASHINGTON,MAREKANI : RAIS wa Marekani, Donald Trump, amesema kuwa serikali yake itaanza kutoza ushuru wa asilimia 25 kwa bidhaa zinazoingizwa…

Soma Zaidi »

Biashara ya binadamu yaongezeka-IOM

ASIA : UMOJA wa Mataifa kupitia Shirika lake la Uhamiaji (IOM), umesema biashara haramu ya binadamu inaendelea kuongezeka kwa kasi…

Soma Zaidi »

Sudan Kusini yapoteza askari 5 mpakani

JUBA : TAKRIBAN askari watano wa Sudan Kusini wameuawa katika mapigano na Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Uganda (UPDF)…

Soma Zaidi »
Back to top button