Kimataifa

Tetemeko la kihistoria laleta taharuki Urusi

MOSCOW, URUSI : TETEMEKO kubwa la ardhi lenye ukubwa wa 8.7 kwenye kipimo cha Richter limeripotiwa mapema leo nchini Urusi…

Soma Zaidi »

Bessent, He Lifeng wakutana Stockholm

STOCKHOLM, USWIDI : SERIKALI ya Marekani na China zimeingia katika siku ya pili ya mazungumzo ya ngazi ya juu jijini…

Soma Zaidi »

Ouattara kutafuta muhula wa nne Ivory Coast

ABIDJAN, IVORY COAST : RAIS wa Ivory Coast, Alassane Ouattara, ametangaza rasmi nia ya kuwania tena urais kwa muhula wa…

Soma Zaidi »

Merz: Tunakwenda Gaza kutafuta majibu

BERLIN, UJERUMANI : UJERUMANI , Ufaransa na Uingereza zinapanga kuwatuma mawaziri wao wa mambo ya nje katika Ukanda wa Gaza…

Soma Zaidi »

Peskov: Hatulengi raia, tunataka amani

MOSCOW, URUSI : SERIKALI ya Urusi imedai kuwa Rais Vladimir Putin ana dhamira ya kweli ya kupatikana kwa amani kati…

Soma Zaidi »

Mahakama yamkuta Uribe na hatia

BOGOTA : RAIS wa zamani wa Colombia, Alvaro Uribe, amepatikana na hatia ya kujaribu kuwarubuni mashahidi katika kesi ya ufisadi…

Soma Zaidi »

China yazindua mpango wa kuongeza uzazi

BEIJING: WAZAZI nchini China wanapewa ruzuku ya yuan 3,600 (sawa na Sh375,000) kwa mwaka kwa kila mtoto aliye na umri…

Soma Zaidi »

Malori 120 ya msaada yaingia Gaza

JERUSALEM: SERIKALI ya Israel imesema zaidi ya malori 120 ya msaada wa chakula yamesambazwa katika Ukanda wa Gaza na Umoja…

Soma Zaidi »

Njaa yasababisha ukosefu wa amani

NEW YORK : KATIBU Mkuu wa Umoja wa Mataifa, Antonio Guterres, ameitaka jamii ya kimataifa kupinga vikali tatizo la njaa…

Soma Zaidi »

RSF yaunda serikali sambamba Sudan

KHARTOUM: KUNDI la wanamgambo la Rapid Support Forces (RSF) na washirika wake nchini Sudan wameunda serikali sambamba ya Muungano wa…

Soma Zaidi »
Back to top button