Kimataifa

Canada kuunga mkono Palestina

OTTAWA,CANADA : WAZIRI Mkuu wa Canada, Mark Carney, ametangaza kuwa nchi yake inapanga kulitambua rasmi Taifa la Palestina katika Baraza…

Soma Zaidi »

Marekani yaitwisha India ushuru mpya

WASHINGTON,MAREKANI : RAIS wa Marekani, Donald Trump, amesema kuwa serikali yake itaanza kutoza ushuru wa asilimia 25 kwa bidhaa zinazoingizwa…

Soma Zaidi »

Biashara ya binadamu yaongezeka-IOM

ASIA : UMOJA wa Mataifa kupitia Shirika lake la Uhamiaji (IOM), umesema biashara haramu ya binadamu inaendelea kuongezeka kwa kasi…

Soma Zaidi »

Sudan Kusini yapoteza askari 5 mpakani

JUBA : TAKRIBAN askari watano wa Sudan Kusini wameuawa katika mapigano na Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Uganda (UPDF)…

Soma Zaidi »

Tetemeko la kihistoria laleta taharuki Urusi

MOSCOW, URUSI : TETEMEKO kubwa la ardhi lenye ukubwa wa 8.7 kwenye kipimo cha Richter limeripotiwa mapema leo nchini Urusi…

Soma Zaidi »

Bessent, He Lifeng wakutana Stockholm

STOCKHOLM, USWIDI : SERIKALI ya Marekani na China zimeingia katika siku ya pili ya mazungumzo ya ngazi ya juu jijini…

Soma Zaidi »

Ouattara kutafuta muhula wa nne Ivory Coast

ABIDJAN, IVORY COAST : RAIS wa Ivory Coast, Alassane Ouattara, ametangaza rasmi nia ya kuwania tena urais kwa muhula wa…

Soma Zaidi »

Merz: Tunakwenda Gaza kutafuta majibu

BERLIN, UJERUMANI : UJERUMANI , Ufaransa na Uingereza zinapanga kuwatuma mawaziri wao wa mambo ya nje katika Ukanda wa Gaza…

Soma Zaidi »

Peskov: Hatulengi raia, tunataka amani

MOSCOW, URUSI : SERIKALI ya Urusi imedai kuwa Rais Vladimir Putin ana dhamira ya kweli ya kupatikana kwa amani kati…

Soma Zaidi »

Mahakama yamkuta Uribe na hatia

BOGOTA : RAIS wa zamani wa Colombia, Alvaro Uribe, amepatikana na hatia ya kujaribu kuwarubuni mashahidi katika kesi ya ufisadi…

Soma Zaidi »
Back to top button