Kimataifa

China yazindua mpango wa kuongeza uzazi

BEIJING: WAZAZI nchini China wanapewa ruzuku ya yuan 3,600 (sawa na Sh375,000) kwa mwaka kwa kila mtoto aliye na umri…

Soma Zaidi »

Malori 120 ya msaada yaingia Gaza

JERUSALEM: SERIKALI ya Israel imesema zaidi ya malori 120 ya msaada wa chakula yamesambazwa katika Ukanda wa Gaza na Umoja…

Soma Zaidi »

Njaa yasababisha ukosefu wa amani

NEW YORK : KATIBU Mkuu wa Umoja wa Mataifa, Antonio Guterres, ameitaka jamii ya kimataifa kupinga vikali tatizo la njaa…

Soma Zaidi »

RSF yaunda serikali sambamba Sudan

KHARTOUM: KUNDI la wanamgambo la Rapid Support Forces (RSF) na washirika wake nchini Sudan wameunda serikali sambamba ya Muungano wa…

Soma Zaidi »

Waasi wa ADF wauwa zaidi ya watu 40

KINSHASA: ZAIDI ya watu 40 wameuawa kufuatia mashambulizi ya waasi wa Allied Democratic Forces (ADF) Kaskazini Mashariki mwa Jamhuri ya…

Soma Zaidi »

Iran, E3 waanza mazungumzo mapya

TEHRAN : WANADIPLOMASIA wa Iran wanakutana leo na wenzao kutoka Ujerumani, Uingereza na Ufaransa kwa mazungumzo mapya kuhusu mpango wa…

Soma Zaidi »

Kesi ya Kabila Yaanza Kinshasa

KINSHASA : MAHAKAMA ya kijeshi mjini Kinshasa imeanza kusikiliza kesi inayomkabili rais wa zamani wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo…

Soma Zaidi »

Mazungumzo mapya Gaza wiki ijayo

CAIRO : SHIRIKA la habari la Al-Qahera, lenye uhusiano na serikali ya Misri, limeripoti kuwa mazungumzo ya amani ya Gaza…

Soma Zaidi »

Bunge lapigwa stop kumuondoa Sara Duterte

MANILA : MAHAKAMA ya Juu nchini Ufilipino imetupilia mbali uamuzi wa bunge wa kumuondoa madarakani Makamu wa Rais Sara Duterte,…

Soma Zaidi »

ICC yawatia hatiani vigogo CAR

UHOLANZI: MAHAKAMA ya Kimataifa ya Jinai (ICC) imewahukumu maafisa wawili wa zamani wa serikali ya Jamhuri ya Afrika ya Kati…

Soma Zaidi »
Back to top button