Kimataifa

Kenya yashindwa kufadhili elimu

NAIROBI : SERIKALI ya Kenya imetangaza kushindwa kumudu gharama za kufadhili elimu ya bure kwa shule za msingi na sekondari,…

Soma Zaidi »

Ufaransa yaitambua Palestina

PARIS: RAIS wa Ufaransa, Emmanuel Macron, ametangaza kuwa nchi yake itaitambua rasmi Palestina kama taifa huru ifikapo Septemba mwaka huu,…

Soma Zaidi »

“Nasema Siondoki” William Ruto

KENYA : RAIS wa Kenya, William Ruto, amepinga vikali wito unaoendelea wa kumtaka ajiuzulu, akisema madai hayo hayana msingi.

Soma Zaidi »

Biya ajiimarisha kijeshi kabla ya uchaguzi

YAOUNDE : RAIS wa Cameroon, Paul Biya (92), ambaye kwa sasa ndiye mkuu wa nchi mwenye umri mkubwa zaidi duniani,…

Soma Zaidi »

Teknolojia ya IVF yaokoa kizazi

LONDON : WATOTO wanane wenye afya nzuri wamezaliwa nchini Uingereza kupitia mbinu mpya ya upandikizaji wa mimba (IVF), ambayo imefanikiwa…

Soma Zaidi »

Tetemeko la 7.3 lapiga Alaska

ALASKA : TETEMEKO kubwa la ardhi lenye ukubwa wa 7.3 katika kipimo cha Richter limetokea katika pwani ya jimbo la…

Soma Zaidi »

Muungano wa Netanyahu watetereka

JERUSALEM : WAZIRI Mkuu wa Israel, Benjamin Netanyahu, amepoteza mshirika mwingine muhimu katika serikali yake ya muungano, baada ya chama…

Soma Zaidi »

Ethiopia yakamata watu 82 wa IS

ADDIS, ETHIOPIA : MAMLAKA za Ethiopia zimewakamata watu 82 wanaoshukiwa kuwa wanachama wa kundi linalojiita Dola la Kiislamu (IS), ambao…

Soma Zaidi »

Watu 248 wauawa Syria

DAMASCUS : TAKRIBAN watu 248 wameuawa katika mfululizo wa mapigano yaliyodumu kwa siku kadhaa huko Sweida, Kusini mwa Syria, hali…

Soma Zaidi »

EU yatangaza vikwazo vipya dhidi ya Urusi

UBELGIJI : UMOJA wa Ulaya (EU) unatarajiwa kuidhinisha awamu mpya ya vikwazo dhidi ya Urusi ikiwa ni hatua nyingine ya…

Soma Zaidi »
Back to top button