Kimataifa

Ethiopia yapiga marufuku mifuko ya plastiki

MAMLAKA ya Kulinda Mazingira nchini Ethiopia imetangaza kuwa itaanza kupiga marufuku matumizi ya mifuko ya plastiki kuanzia Januari 31, 2026.…

Soma Zaidi »

Raia 119 wa Kenya waokolewa Myanmar

SERIKALI ya Kenya imesema kuwa imefanikiwa kuwaokoa raia wake 119 waliokuwa wamekwama nchini Myanmar. Katika taarifa iliyotolewa na Wizara ya…

Soma Zaidi »

Afrika kuendelea kushirikiana na Urusi

SERIKALI ya Tanzania imetaja vipaumbele vya kuzingatiwa katika ushirikiano kati ya Afrika na Urusi. Waziri wa Mambo ya Nje na…

Soma Zaidi »

Diageo yauza hisa zote EABL kwa Asahi Group

Nairobi, Kenya: Kampuni ya East African Breweries PLC (EABL) imetangaza kuwa kampuni ya Diageo imekubali kuuza hisa zake zote za…

Soma Zaidi »

Trump aahidi kuboresha uchumi 2026

RAIS wa Marekani, Donald Trump, amelihutubia taifa leo Alhamisi, akieleza mipango yake ya kuifanya Marekani kuwa imara zaidi kuliko ilivyokuwa…

Soma Zaidi »

Daktari jela kuwaua wagonjwa

DAKTARI mmoja wa Ufaransa, Frédéric Péchier (53), amehukumiwa kifungo cha maisha jela baada ya kupatikana na hatia ya kuwadunga sindano…

Soma Zaidi »

Afrika yadai haki kwa waathirika wa Ukoloni

VIONGOZI wa Afrika wamekusanyika mjini Algiers, Algeria, kuhimiza kuwa uhalifu wa enzi za ukoloni unapaswa kutambulika, kuhalalishwa kama jinai na…

Soma Zaidi »

Wakimbizi wa Burundi kutopewa uraia Tanzania

BURUNDI: SERIKALI ya Tanzania imewataka wakimbizi wa Burundi wanaoishi katika kambi nchini wawe tayari kurejea nchini mwao ambako imewahakikishia kurejea…

Soma Zaidi »

Mbwa wa Rais wapotea Malawi

POLISI nchini Malawi wanachunguza wizi wa mbwa wanne wa polisi waliopotea kutoka Ikulu ya Rais mjini Lilongwe wakati wa mpito…

Soma Zaidi »

Kituo cha Biashara Russia-India Kimeanzishwa

SERIKALI ya India imesema itaendelea kushirikiana na Urusi kuimarisha uhusiano wao wa kibiashara kwa kuanzisha Kituo cha Biashara cha Russia-India…

Soma Zaidi »
Back to top button