Kimataifa

Diageo yauza hisa zote EABL kwa Asahi Group

Nairobi, Kenya: Kampuni ya East African Breweries PLC (EABL) imetangaza kuwa kampuni ya Diageo imekubali kuuza hisa zake zote za…

Soma Zaidi »

Trump aahidi kuboresha uchumi 2026

RAIS wa Marekani, Donald Trump, amelihutubia taifa leo Alhamisi, akieleza mipango yake ya kuifanya Marekani kuwa imara zaidi kuliko ilivyokuwa…

Soma Zaidi »

Daktari jela kuwaua wagonjwa

DAKTARI mmoja wa Ufaransa, Frédéric Péchier (53), amehukumiwa kifungo cha maisha jela baada ya kupatikana na hatia ya kuwadunga sindano…

Soma Zaidi »

Afrika yadai haki kwa waathirika wa Ukoloni

VIONGOZI wa Afrika wamekusanyika mjini Algiers, Algeria, kuhimiza kuwa uhalifu wa enzi za ukoloni unapaswa kutambulika, kuhalalishwa kama jinai na…

Soma Zaidi »

Wakimbizi wa Burundi kutopewa uraia Tanzania

BURUNDI: SERIKALI ya Tanzania imewataka wakimbizi wa Burundi wanaoishi katika kambi nchini wawe tayari kurejea nchini mwao ambako imewahakikishia kurejea…

Soma Zaidi »

Mbwa wa Rais wapotea Malawi

POLISI nchini Malawi wanachunguza wizi wa mbwa wanne wa polisi waliopotea kutoka Ikulu ya Rais mjini Lilongwe wakati wa mpito…

Soma Zaidi »

Kituo cha Biashara Russia-India Kimeanzishwa

SERIKALI ya India imesema itaendelea kushirikiana na Urusi kuimarisha uhusiano wao wa kibiashara kwa kuanzisha Kituo cha Biashara cha Russia-India…

Soma Zaidi »

Ethiopia Yaingia BRICS

ETHIOPIA imefanikiwa kuwa mwanachama wa jumuia ya BRICS, hatua itakayoiweka nchi hiyo kwenye jukwaa la kimataifa na kuipa nafasi ya…

Soma Zaidi »

Zaidi ya 40 wapoteza maisha Hong Kong

ZAIDI ya watu 40 wamethibitishwa kufariki dunia katika moto mkubwa ulioteketeza majengo kadhaa ya ghorofa jijini Hong Kong. Watu wengine…

Soma Zaidi »

Tanzania yalionya bunge la Ulaya kuingilia siasa zake

TANZANIA: TAIFA la Tanzania limekosoa vikali kile inachokiita ongezeko la uingiliaji wa kisiasa kutoka mataifa ya kigeni, baada ya Bunge…

Soma Zaidi »
Back to top button