Kimataifa

Shambulio la mazishi laua watu 50

Zaidi ya watu 50 wameuawa Mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo baada ya waasi wa kundi la ADF linaloungwa…

Soma Zaidi »

Kombora la Iskander laharibu jengo la serikali Kyiv

KYIV, UKRAINE : MKUU wa Utawala wa Rais wa Ukraine, Andriy Yermak, amesema shambulio lililolenga jengo la serikali mjini Kyiv…

Soma Zaidi »

Labour yashinda uchaguzi, Støre abaki madarakani

OSLO, NORWAY : WAZIRI Mkuu wa Norway, Jonas Gahr Støre ametangaza ushindi katika uchaguzi wa bunge uliofanyika jana Jumatatu.

Soma Zaidi »

Bayrou aondoka, Macron aanza mchakato kumtafuta mrithi

PARIS, UFARANSA: WAZIRI Mkuu wa Ufaransa, Francois Bayrou ameondolewa madarakani baada ya serikali yake kupoteza kura ya imani katika Bunge…

Soma Zaidi »

Balozi, bosi Sonatrach wateta fursa za uwekezaji sekta ya mafuta, gesi asilia

Algiers, Algeria: Balozi wa Tanzania nchini Algeria, Iman Njalikai amekutana na kufanya mazungumzo na mwenyekiti na mkurugenzi mtendaji wa Kampuni…

Soma Zaidi »

JKCI yafanikisha matibabu Afrika

DAR ES SALAAM: TAASISI ya Moyo ya Jakaya Kikwete (JKCI) tangu kuanzishwa mwaka 2015 imeokoa maisha ya zaidi ya watu…

Soma Zaidi »

Jengo la serikali lashambuliwa Kyiv

KYIV, UKRAINE: JENGO kuu la serikali ya Ukraine huko Kyiv limepigwa kwa mara ya kwanza katika vita dhidi ya Urusi,…

Soma Zaidi »

CHP yaitisha maandamano makubwa Istanbul

ISTANBUL, UTURUKI: CHAMA Kikuu cha Upinzani nchini Uturuki, Republican People’s Party (CHP), kimewataka wananchi na wakazi wa jiji la Istanbul…

Soma Zaidi »

Usafiri wa treni wasimama London

LONDON, UINGEREZA: MAMILIONI ya Wakazi wa London wanakabiliwa na changamoto kubwa ya usafiri kufuatia kuanza kwa mgomo wa siku tano…

Soma Zaidi »

Uongozi wa Bayrou watingishwa

PARIS, UFARANSA: WAZIRI Mkuu wa Ufaransa François Bayrou, anatarajiwa kushindwa katika kura ya imani inayofanyika leo Jumatatu.

Soma Zaidi »
Back to top button