Ulaya

Chama Tawala chaongozo Moldova

MOLDOVA : CHAMA tawala cha Moldova kinachounga mkono Umoja wa Ulaya (EU) kimeibuka kinachoongoza katika uchaguzi wa bunge, kufuatia kura…

Soma Zaidi »

Tunaitambua Palestina – Keir Starmer

LONDON: UINGEREZA , Australia na Canada zimetangaza kulitambua rasmi taifa la Palestina, hatua inayotajwa kuwa mabadiliko makubwa ya sera za…

Soma Zaidi »

CHP yamchagua Ozel kuwa kiongozi

UTURUKI: CHAMA kikuu cha upinzani nchini Uturuki, CHP, kimemchagua tena Ozgur Ozel kuwa kiongozi wake katika mkutano mkuu uliofanyika Jumapili,…

Soma Zaidi »

Maelfu ya wafanyakazi waandamana Paris

PARIS: MAELFU ya wafanyakazi mjini Paris wamegoma kufanya kazi na kuandamana jijini Paris wakipinga mpango wa serikali wa kupunguza bajeti.

Soma Zaidi »

Putin: Msitumie Mali za Urusi

MOSCOW, URUSI : SERIKALI ya Urusi imeonya kuwa italishambulia taifa lolote la Ulaya litakalothubutu kuchukua mali zake zilizozuiwa, kufuatia mapendekezo…

Soma Zaidi »

Labour yashinda uchaguzi, Støre abaki madarakani

OSLO, NORWAY : WAZIRI Mkuu wa Norway, Jonas Gahr Støre ametangaza ushindi katika uchaguzi wa bunge uliofanyika jana Jumatatu.

Soma Zaidi »

Bayrou aondoka, Macron aanza mchakato kumtafuta mrithi

PARIS, UFARANSA: WAZIRI Mkuu wa Ufaransa, Francois Bayrou ameondolewa madarakani baada ya serikali yake kupoteza kura ya imani katika Bunge…

Soma Zaidi »

Jengo la serikali lashambuliwa Kyiv

KYIV, UKRAINE: JENGO kuu la serikali ya Ukraine huko Kyiv limepigwa kwa mara ya kwanza katika vita dhidi ya Urusi,…

Soma Zaidi »

Usafiri wa treni wasimama London

LONDON, UINGEREZA: MAMILIONI ya Wakazi wa London wanakabiliwa na changamoto kubwa ya usafiri kufuatia kuanza kwa mgomo wa siku tano…

Soma Zaidi »

Ulaya yajipanga kuongeza vikwazo

BERLIN : KANSELA wa Ujerumani, Friedrich Merz, amemtuhumu Rais Vladmir Putin kwa kuchelewesha makusudi mazungumzo ya amani na Ukraine.

Soma Zaidi »
Back to top button