Ulaya

Papa Leo XIV aitaka Dunia kusitisha mapigano Krismasi

KIONGOZI wa Kanisa Katoliki Duniani, Papa Leo XIV, ametoa wito wa kusitisha mapigano kwenye maeneo yenye migogoro duniani wakati wa…

Soma Zaidi »

Daktari jela kuwaua wagonjwa

DAKTARI mmoja wa Ufaransa, Frédéric Péchier (53), amehukumiwa kifungo cha maisha jela baada ya kupatikana na hatia ya kuwadunga sindano…

Soma Zaidi »

Vigogo BBC kujibu tuhuma Bungeni

VIONGOZI wa ngazi ya juu wa Shirika la Utangazaji la Uingereza (BBC) wanaohusishwa na sakata ya hivi karibuni ya uhariri…

Soma Zaidi »

Waziri mkuu mpya ajiuzulu Ufaransa

PARIS: WAZIRI Mkuu wa Ufaransa, Sebastien Lecornu, aliyeteuliwa hivi karibuni, amejiuzulu Jumatatu katika hatua ambayo haikutarajiwa. Ikulu ya Elysée imesema…

Soma Zaidi »

Chama Tawala chaongozo Moldova

MOLDOVA : CHAMA tawala cha Moldova kinachounga mkono Umoja wa Ulaya (EU) kimeibuka kinachoongoza katika uchaguzi wa bunge, kufuatia kura…

Soma Zaidi »

Tunaitambua Palestina – Keir Starmer

LONDON: UINGEREZA , Australia na Canada zimetangaza kulitambua rasmi taifa la Palestina, hatua inayotajwa kuwa mabadiliko makubwa ya sera za…

Soma Zaidi »

CHP yamchagua Ozel kuwa kiongozi

UTURUKI: CHAMA kikuu cha upinzani nchini Uturuki, CHP, kimemchagua tena Ozgur Ozel kuwa kiongozi wake katika mkutano mkuu uliofanyika Jumapili,…

Soma Zaidi »

Maelfu ya wafanyakazi waandamana Paris

PARIS: MAELFU ya wafanyakazi mjini Paris wamegoma kufanya kazi na kuandamana jijini Paris wakipinga mpango wa serikali wa kupunguza bajeti.

Soma Zaidi »

Putin: Msitumie Mali za Urusi

MOSCOW, URUSI : SERIKALI ya Urusi imeonya kuwa italishambulia taifa lolote la Ulaya litakalothubutu kuchukua mali zake zilizozuiwa, kufuatia mapendekezo…

Soma Zaidi »

Labour yashinda uchaguzi, Støre abaki madarakani

OSLO, NORWAY : WAZIRI Mkuu wa Norway, Jonas Gahr Støre ametangaza ushindi katika uchaguzi wa bunge uliofanyika jana Jumatatu.

Soma Zaidi »
Back to top button