Ulaya

Ujerumani kuwapokea wakimbizi 942

BERLIN, UJERUMANI: SERIKALI ya Ujerumani imesema imewapokea wakimbizi 942 kutoka nchi mbalimbali duniani kwa mwaka huu kupitia mpango wa Umoja…

Soma Zaidi »

Joto kali Ulaya laua watatu

LONDON, UINGEREZA : WATU watatu wamefariki dunia na maelfu kulazimika kuyahama makazi yao kutokana na mioto ya nyika inayosababishwa na…

Soma Zaidi »

Trump, Putin kukutana Alaska wiki hii

ALASKA : VIONGOZI wa Umoja wa Ulaya (EU) wamemuomba Rais wa Marekani, Donald Trump, kuhakikisha usalama wao katika mkutano wa…

Soma Zaidi »

Australia yatangaza kuitambua Palestina

CANBERRA, AUSTRALIA : SERIKALI ya Australia imetangaza kuitambua rasmi Palestina kama taifa huru katika Mkutano Mkuu wa Umoja wa Mataifa…

Soma Zaidi »

Trump, Putin kukutana wiki ijayo

GENEVA : NAIBU Balozi wa Urusi katika Umoja wa Mataifa, Dmitry Polyanskiy, amesema Rais wa Urusi, Vladimir Putin, huenda akakutana…

Soma Zaidi »

Uingereza yapiga marufuku ‘daktari wa mitaani’

LONDON, UINGEREZA : SERIKALI ya Uingereza imetangaza mikakati mipya ya kudhibiti upasuaji wa kuboresha mwonekano wa mwili, ikiwemo kuongeza makalio,…

Soma Zaidi »

Mashambulizi Kiev yaua watu 31

KIEV, UKRAINE : IDADI ya watu waliouawa katika jiji la Kiev, Ukraine, imeongezeka na kufikia 31 kufuatia shambulio la makombora…

Soma Zaidi »

Zelensky: Mali za Urusi Zitaifishwe

KIEV, UKRAINE : RAIS wa Ukraine, Volodymyr Zelensky, ametoa wito kwa mataifa ya Magharibi kutaifisha mali zote za Urusi zilizozuiwa,…

Soma Zaidi »

Peskov: Hatulengi raia, tunataka amani

MOSCOW, URUSI : SERIKALI ya Urusi imedai kuwa Rais Vladimir Putin ana dhamira ya kweli ya kupatikana kwa amani kati…

Soma Zaidi »

Netanyahu awashutumu viongozi wa Ulaya kuhusu Gaza

WAZIRI Mkuu wa Israel, Benjamin Netanyahu, amewashutumu viongozi wa Uingereza, Ufaransa na Canada kwa kile alichokiita “kuwapa Hamas zawadi kubwa”…

Soma Zaidi »
Back to top button