Siasa

Tanzania, Saudi Arabia kuongeza fursa za elimu

WAZIRI wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Prof. Adolf Mkenda, amekutana na Balozi wa Saudi Arabia, Yahya Bin Ahmed Okeish, ambapo…

Soma Zaidi »

Buriani Jenista Mhagama 1967 – 2025

MWANASIASA mkongwe aliyewahi kuwa waziri na mbunge kwa miaka 25, Jenista Joakim Mhagama (58) amefariki dunia. Kwa mujibu wa Spika…

Soma Zaidi »

Buriani Mwalimu Jenista Mhagama

WILAYANI Peramiho mkoani Ruvuma ndipo safari ya Jenista Joackim Mhagama ilipoanzia, tarehe 23 Juni 1967 alipozaliwa. Kisha safari yake ikahamia…

Soma Zaidi »

Balozi Kaganda akutana na Balozi wa China nchini Zimbabwe

Balozi wa Tanzania nchini Zimbabwe, CP Suzan Kaganda, amekutana na kuzungumza na Balozi wa China nchini humo, Zhou Ding, ambapo…

Soma Zaidi »

Slovakia yafungua Ubalozi Tanzania

BALOZI Mteule wa kwanza wa Slovakia nchini Tanzania, Ivan Lančarič amewasilisha nakala za Hati za Utambulisho kwa Naibu Waziri wa…

Soma Zaidi »

CCM: Vijana msitumike

DAR ES SALAAM: CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) kimewataka vijana kutokubali kutumika kwa maslahi ya watu wengine wasiokuwa na nia njema…

Soma Zaidi »

Buchosa yapata Mwenyekiti halmashauri

MWANZA; HALMASHAURI ya Wilaya ya Buchosa mkoani Mwanza imepata uongozi mpya baada ya madiwani  kumchagua Isack Mashimba wa Chama Cha…

Soma Zaidi »

Spika wa Bunge akutana na mabalozi wa EU

Spika wa Bunge, Mussa Zungu, amekutana na kufanya mazungumzo na baadhi ya Mabalozi wa Nchi Wanachama wa Umoja wa Ulaya…

Soma Zaidi »

Madiwani wamchagua mwenyekiti halmashauri ya Longido

ARUSHA: MADIWANI wa Halmashauri ya Wilaya ya Longido mkoani Arusha wamemchagua kwa kura zote 26 diwani wa Kata ya Longido…

Soma Zaidi »

Sima achomoza umeya Mwanza

MWANZA; DIWANI wa Kata ya Mhandu, Sima Constantine ndiye Meya mpya wa Jiji la Mwanza. Hatua hiyo inatokana leo kushinda…

Soma Zaidi »
Back to top button