Siasa

Bunge kubana mawaziri

BUNGE limeahidi kupongeza mawaziri wanaofanya vizuri na kubana wasiotekeleza majukumu yao vizuri. Spika wa Bunge, Mussa Zungu ametoa kauli hiyo…

Soma Zaidi »

Spika: Benki ni tatizo Mikopo ya asilimia 10

DODOMA; SPIKA wa Bunge, Mussa Zungu, amesema benki nyingi nchini ndiyo tatizo kuhusu mikopo asilimia 10 ya halmashauri kuwafikia walengwa.…

Soma Zaidi »

Rais Museveni wa Uganda kufanya ziara Tanzania

RAIS wa Jamhuri ya Uganda, Yoweri Kaguta Museveni, anatarajiwa kuwasili nchini kesho Februari 07, 2026 kwa ziara ya kikazi ya…

Soma Zaidi »

Mpango kuupandisha hadhi Mji Mdogo Mlandizi waelezwa

DODOMA; HALMASHAURI ya Wilaya ya Kibaha imeelekezwa kufanya michakato iliyoainishwa kwenye sheria na mwongozo wa uanzishwaji wa maeneo ya utawala.…

Soma Zaidi »

Maeneo yanayofaa mradi umeme wa upepo, jua yatajwa

DODOMA; SERIKALI imesema kupitia Sera ya Taifa ya Nishati ya mwaka 2015, imeweka mkazo wa kuendeleza vyanzo vya nishati jadidifu…

Soma Zaidi »

Utaratibu biashara pembezoni mwa barabara waelezwa

DODOMA; SERIKALI imesema imeweka utaratibu kwa ajili ya wafanyabiashara wenye nia ya kutumia maeneo yaliyopo pembezoni mwa barabara. Naibu Waziri…

Soma Zaidi »

Vikundi 24,064 vyanufaika mafunzo usimamizi mikopo

DODOMA; SERIKALI imesema kipindi cha kuanzia Julai, 2024 hadi Januari 2026, jumla ya vikundi 24,064 vimepatiwa mafunzo ya usimamizi wa…

Soma Zaidi »

‘Nyumba 2,500 zimelipwa fidia Mradi Mto Msimbazi’

DODOMA; SERIKALI imesema Mradi wa Bonde la Mto Msimbazi, unatarajia kuhamisha nyumba zaidi ya 3,000, ambapo hadi sasa nyumba 2,500…

Soma Zaidi »

Nchimbi aongoza mazishi ya Mbunge Munde Tambwe

 MAKAMU wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Balozi Dk Emmanuel Nchimbi, leo Februari 4, 2026, ameongoza mazishi ya…

Soma Zaidi »

Tume yatua Dodoma yakutana na RC, Kamati ya Ulinzi

TUME ya Uchunguzi wa Matukio ya Uvunjifu wa Amani yaliyojitokeza wakati na baada ya Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 29, 2025,…

Soma Zaidi »
Back to top button