Siasa

NCCR-Mageuzi kuboresha afya, elimu Zanzibar

ZANZIBAR: MGOMBEA wa Urais wa Zanzibar kupitia Chama cha NCCR-Mageuzi, Laila Rajab Khamis, amesema chama hicho kimejipanga kufanya mapinduzi makubwa…

Soma Zaidi »

Baraza la Vyama: Wanasiasa wasipotoshe kura ya mapema Z’bar

TUME ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC) imepuliza kipenga cha kuanza kampeni za vyama vya siasa za takribani siku 40, zikihusisha ya…

Soma Zaidi »

Dk Nchimbi: Mchagueni Samia aendeleze maajabu

CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) kimesema hakijawahi kupungukiwa viongozi wenye uwezo wa kutumikia Watanzania kwa ufanisi. Mgombea mwenza wa urais kupitia…

Soma Zaidi »

ACT-Wazalendo yapinga INEC kumuondoa Mpina

CHAMA cha ACT-Wazalendo kimesema hakikubaliani na uamuzi wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC) kumuondoa mgombea wake wa urais,…

Soma Zaidi »

Uchumi watawala ahadi za Samia, aanza ziara Unguja

MGOMBEA urais kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Samia Suluhu Hassan leo anaanza kampeni katika mikoa Mjini Magharibi, Kusini Unguja na…

Soma Zaidi »

TZ, Japan kuimarisha biashara ya kaboni

DAR ES SALAAM: Katibu Mkuu Ofisi ya Makamu wa Rais Muungano na Mazingara, Mhandisi Cyprian Luhemeja, leo amezindua Kamati ya…

Soma Zaidi »

‘Vyama viwape kipaumbele wenye ulemavu’

WADAU mbalimbali wa demokrasia wanakiri kuwa, Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC) mwaka huu imefanya juhudi kubwa kushirikisha watu…

Soma Zaidi »

Mgombea aahidi utatuaji uuzaji ardhi holela

ARUSHA: MGOMBEA ubunge wa Jimbo la Simanjiro mkoani Arusha, James Ole Millya amesema endapo atachaguliwa kuwa mbunge wa jimbo hilo…

Soma Zaidi »

ACT Wazalendo yaahidi serikali jumuishi Z’bar, mshahara mil 1/-

MGOMBEA urais wa Zanzibar kwa tiketi ya Chama cha ACT Wazalendo, Othman Masoud Othman amesema wananchi wakimchagua ataunda serikali jumuishi.…

Soma Zaidi »

CCM: Huwezi kumkwepa Samia

CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) kimesema kama Watanzania wanapiga kura za uchaguzi wa rais kwa kuzingatia matokeo, hakuna namna ya kutomchagua…

Soma Zaidi »
Back to top button