Siasa

Wabunge 47, naibu mawaziri wanane chali!

DAR ES SALAAM; NAIBU Mawaziri wanane na wabunge waliomaliza muda wao wapatao 47 wameshindwa kuchomoza katika kura za maoni za…

Soma Zaidi »

Kasekenya mambo safi Ileje

SONGWE: ALIYEKUWA Naibu Waziri wa Ujenzi na Mbunge wa Jimbo la Ileje, Mhandisi Godfrey Kasekenya ameongoza kura za maoni kwa…

Soma Zaidi »

Nanauka ashinda kura za maoni Mtwara Mjini

CHAMA cha Mapinduzi (CCM) Wilaya ya Mtwara Mjini kimetangaza matokeo ya kura za maoni nafasi ya ubunge jimbo la Mtwara…

Soma Zaidi »

Magembe ambwaga Kalemani Chato Kaskazini

GEITA: CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) wilaya ya Chato mkoani Geita kimemtangaza Cornel Magembe kuwa mshindi wa kura za maoni kwa…

Soma Zaidi »

Kilosa: Kabudi amwaga wapinzani kwa 76%

MOROGORO : ALIYEKUWA Waziri wa Habari, Utamaduni ,Sanaa na Michezo, Profesa Palamagamba Kabudi ameibuka mshindi wa kura za maoni katika…

Soma Zaidi »

Wajumbe wameamua

DAR ES SALAAM; WAJUMBE wa mikutano mikuu ya kata, wadi na jimbo wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) wamepiga kura za…

Soma Zaidi »

Kiruswa aongoza kura za maoni Longido

Katibu wa CCM Wilaya ya Longido Geofrey Kavenga amesema katika Jimbo hilo kulikuwa na wapiga kura 12,782,kura zilizopigwa 11,759,kura zilizoharibika…

Soma Zaidi »

Mhandisi TANROAD awabwaga wanne Bukoba Mjini

BUKOBA: Mhandisi wa TANROAD, Johnston Mtasingwa ameibuka mshindi kwa kupata kura 1,408 na kuwabwaga wenzake zaidi ya wanne waliokuwa walishiriki…

Soma Zaidi »

THRDC yaipongeza CCM uteuzi makundi maalumu

DAR ES SALAAM: Mtandao wa Watetezi wa Haki za Binadamu Tanzania (THRDC) umetoa wito kwa Chama cha Mapinduzi (CCM) kuhakikisha…

Soma Zaidi »

Asas: Wanachama CCM shirikini kikamilifu kura za maoni

IRINGA: Mjumbe wa Kamati Kuu (MCC) ya Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Salim Abri Asas,…

Soma Zaidi »
Back to top button