Siasa

Polisi yaonya vitisho, uzushi Uchaguzi Mkuu

JESHI la Polisi limeagiza wananchi wajiepushe na lugha za vitisho, matusi na uchonganishi wakati huu wa mchakato wa Uchaguzi Mkuu.…

Soma Zaidi »

State Oil yachangia Sh Mil 500 harambee CCM

DAR ES SALAAM; Kampuni ya Usafirishaji wa Mafuta nchini ya State Oil, imechangia Sh milioni 500 katika harambee ya Chama…

Soma Zaidi »

Rais Samia achangia 100m/- Harambee ya CCM

DAR ES SALAAM — Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Samia…

Soma Zaidi »

Wanahabari Mtwara wakumbushwa maadili uchanguzi

MTWARA: KUELEKEA Uchaguzi Mkuu unaotarajiwa kufanyika Oktoba 2025, waandishi wa habari mkoani Mtwara wametakiwa kuandika na kuripoti habari kwa kuzingatia…

Soma Zaidi »

CCM kuendesha harambee kusaidia kampeni

DAR ES SALAAM; CHAMA Cha Mapinduzi (CCM), kitaendesha harambee maalumu kuchangisha fedha kwa ajili ya kusaidia kampeni za chama hicho…

Soma Zaidi »

Majaliwa akiri Ndugai amemsaidia majukumu bungeni

WAZIRI Mkuu, Kassim Majaliwa amesema Spika mstaafu wa Bunge la Tanzania, Job Ndugai alikuwa msaada mkubwa katika utekelezaji wa majukumu…

Soma Zaidi »

Samia kuchukua fomu ya urais kesho

DODOMA; MGOMBEA urais wa Tanzania kwa tiketi ya Chama cha Mpinduzi (CCM), ambaye pia ni Rais wa Tanzania Dk Samia…

Soma Zaidi »

Salum Mwalimu mgombea urais Chaumma

DAR ES SALAAM; CHAMA cha Ukombozi wa Umma (Chaumma) kimemteua Salum Mwalimu Jumaa kuwa mgombea urais wa Tanzania kupitia chama…

Soma Zaidi »

Chaumma kuteua wagombea urais leo

CHAMA cha Ukombozi wa Umma (CHAUMMA) leo kinateua wagombea urais wa Tanzania na Zanzibar. Chaumma itateua wagombea hao katika Mkutano…

Soma Zaidi »

Buriani Ndugai

DAR ES SALAAM; SPIKA mstaafu wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Job Ndugai(62) amefariki dunia jana jijini Dodoma.…

Soma Zaidi »
Back to top button