Siasa

Saa yatimia uteuzi wagombea ubunge CCM

DODOMA; MACHO na masikio ya Watanza nia leo yataangazia jijini Dodoma ambako Chama Cha Mapinduzi (CCM) kinaanza vikao vya kitaifa…

Soma Zaidi »

Vipaumbele 10 vya CHAUMMA kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025

UBWABWA kwa wote, kilimo kwanza na nishati safi ndiyo baadhi ya ahadi zinazobeba ilani ya Chama cha Ukombozi wa Umma…

Soma Zaidi »

Sheria, kanuni vyataja masharti uteuzi kugombea urais uchaguzi

SHERIA ya Uchaguzi wa Rais, Wabunge na Madiwani Namba 1 ya mwaka 2024 inataka mgombea wa kiti cha rais awasilishe…

Soma Zaidi »

INEC yafungua milango fomu za udiwani Geita

TUME Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC) Agosti 19, 2025 imeanza kutoa fomu kwa wagombea wa nafasi ya udiwani wilayani…

Soma Zaidi »

Mgombea urais ukomo gharama bil 9/-

OFISI ya Msajili wa Vyama vya Siasa imesema wagombea urais wamewekewa ukomo wa kutumia Sh bilioni tisa kugharamia uchaguzi. Mkuu…

Soma Zaidi »

Kambi Mbwana achukua fomu INEC Kwamatuku

PAZIA la uchukuaji fomu ya kugombea udiwani katika wilaya ya Handeni, imefunguliwa leo Agosti 18, 2025, huku mwandishi wa habari…

Soma Zaidi »

ZEC yatangaza ratiba uchaguzi Z’bar

ZANZIBAR; TUME ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC) imetangaza rasmi kuwa ratiba ya Uchaguzi mkuu kwa upande wa Zanzibar ikiwemo uchaguzi wa…

Soma Zaidi »

“Epukeni kampeni za matusi”

DAR ES SALAAM: MSAJILI wa Vyama vya Siasa, Jaji Francis Mutungi, amewataka viongozi wa vyama vya siasa nchini kuhakikisha kampeni…

Soma Zaidi »

Pazia fomu uteuzi urais kufungwa leo

TUME Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC) leo inatarajiwa kukamilisha kazi ya kuwapa fomu za uteuzi wagombea urais wa Tanzania…

Soma Zaidi »

Mpango amwakilisha Rais Samia mkutano EAC, SADC

MAKAMU wa Rais Dk Philip Mpango amemwakilisha Rais Dk Samia Suluhu Hassan katika Mkutano wa Dharura wa Pamoja wa Wakuu…

Soma Zaidi »
Back to top button