Dini

Askofu Kassalla: Msivunje agano la amani

ASKOFU wa Jimbo Katoliki la Geita, Flavian Kassalla, ametoa wito kwa Watanzania kujenga tabia ya uungwana katika ushindani wa kisiasa…

Soma Zaidi »

Wakristo wasisitizwa kuishi kwa Upendo, Amani

WAUMINI katika makanisa mbalimbali Zanzibar wametakiwa kuenzi upendo, amani na maadili mema katika maisha yao ya kila siku kama maana…

Soma Zaidi »

Rais Samia:Krismasi itukumbushe upendo

RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Samia Suluhu Hassan, amewataka Wakristo na Watanzania wote kuitumia Sikukuu ya Krismasi…

Soma Zaidi »

Papa Leo XIV kuongoza misa ya kwanza Krismasi

KIONGOZI wa Kanisa Katoliki Duniani, Papa Leo XIV, anatarajiwa kuongoza Misa yake ya kwanza ya Krismasi katika Basilika ya Mtakatifu…

Soma Zaidi »

Krismasi kuadhimishwa kitaifa Kigoma

IBADA ya mkesha wa Sikukuu ya Krismasi inafanyika kitaifa leo katika Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), Usharika wa…

Soma Zaidi »

Krismasi: Sikukuu ya upendo, matumaini mapya

TANZANIA inaungana na mataifa mengine duniani kufurahia Sikukuu ya Krismasi inayoadhimishwa Desemba 25 kilamwaka, siku inayokumbusha kuzaliwa kwa Yesu Kristo,…

Soma Zaidi »

Chuki za kidini ni vita isiyo na mshindi wala ‘tiba’

BAADA ya Tanzania Bara wakati huo ikiitwa Tanganyika kupata uhuru katika miaka ya 1961, Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Nyerere…

Soma Zaidi »

Waumini wakumbushwa kuishi kwa imani

DODOMA; WAUMINI nchini wamekumbushwa kuishi maisha ya imani ili kuandika historia nzuri wakiwa duniani na hata wakitangulia mbele ya haki…

Soma Zaidi »

Bakwata, TEC, CCT wajadili amani

MUFTI wa Tanzania, Shehe Mkuu Abubakar Zubeir, amesema taasisi za dini nchini zimeanza mazungumzo yenye lengo la kuirudisha nchi katika…

Soma Zaidi »

Malima: Tanzania inahitaji maombi

MKUU wa Mkoa wa Morogoro, Adam Malima amewaomba viongozi wa dini watoe mahubiri ya kumuomba Mungu ili nchi iendelea kuwa…

Soma Zaidi »
Back to top button