Kanda

Serikali Shinyanga yaahidi kusaidia watoto yatima

MKUU wa Mkoa wa Shinyanga, Mboni Mhita ametoa ahadi kwa watoto yatima na wanaoishi kwenye mazingira magumu kuwanunulia sare za…

Soma Zaidi »

Kasekenya atoa siku 10 ufumbuzi barabara, madaraja Ileje

  NAIBU Waziri wa Ujenzi Eng. Godfrey Kasekenya ameutaka Wakala wa Barabara nchini (TANROADS), kuja na mpangokazi unaotekelezeka utakaowezesha ujenzi…

Soma Zaidi »

Waomba mazingira bora zaidi elimu jumuishi

WADAU wa Maendeleo ya Sekta ya Elimu wameiomba Serikali kujenga vituo vya ubainishaji na upimaji kwa watoto wenye ulemavu na…

Soma Zaidi »

Mkoa wa Lindi; mafanikio lukuki sekta ya kilimo

DESEMBA 11, mwaka huu katika Manispaa ya Lindi, kulifanyika Kongamano la Wataalamu wa Kilimo na Ushirika. Kongamano hilo liliwashirikisha maofisa…

Soma Zaidi »

Ulega aagiza ujenzi barabara usiwe kero

WAZIRI wa Ujenzi, Abdallah Ulega amewataka wakandarasi kuweka kipaumbele utu wa wananchi na kuondoa kero kila wanapotekeleza miradi ya ujenzi…

Soma Zaidi »

Dk Mwigulu akagua maendeleo ujenzi madaraja Lindi

WAZIRI Mkuu, Dk Mwigulu Nchemba amekagua maendeleo ya ujenzi wa madaraja na ukarabati wa barabara kuu ya Marendego-Nangurukuru-Lindi-Mingoyo. Akizungumza baada…

Soma Zaidi »

Dk Mwigulu: Amani ni msingi wa maendeleo

Waziri Mkuu, Dk Mwigulu Nchemba leo Desemba 18, 2025 amezungumza na wakazi wa Kiwira mkoani Mbeya ambapo yupo kwenye ziara…

Soma Zaidi »

GGML kulipa fidia wakazi Nyakabale baada ya miaka 25

KAMPUNI ya Mgodi wa Dhahabu ya Geita (GGML) inatarajia kuanza kulipa fidia kwa wakazi wa mtaa wa Nyakabale mjini Geita…

Soma Zaidi »

RUWASA yafikia 77% usambazaji maji Nyang’hwale

WAKALA wa maji na Usafi wa Mazingira Vijijini (RUWASA) wilayani Nyang’hwale mkoa wa Geita imefanikiwa kufikisha huduma ya maji safi…

Soma Zaidi »

MAMCU yaingiza bil 207/- mauzo ya korosho

WAKULIMA wa Korosho kupitia Chama Cha Ushirika Cha Mtwara, Masasi na Nanyumbu (MAMCU) Mkoani Mtwara wameingiza shilingi bilioni 207 katika…

Soma Zaidi »
Back to top button