Kanda

RUWASA yafikia 77% usambazaji maji Nyang’hwale

WAKALA wa maji na Usafi wa Mazingira Vijijini (RUWASA) wilayani Nyang’hwale mkoa wa Geita imefanikiwa kufikisha huduma ya maji safi…

Soma Zaidi »

MAMCU yaingiza bil 207/- mauzo ya korosho

WAKULIMA wa Korosho kupitia Chama Cha Ushirika Cha Mtwara, Masasi na Nanyumbu (MAMCU) Mkoani Mtwara wameingiza shilingi bilioni 207 katika…

Soma Zaidi »

Watumishi Mwanza wahimizwa ubunifu kwenye kazi

KATIBU Tawala Mkoa wa Mwanza, Balandya Elikana amewataka watumishi mkoani humo kuwa wabunifu kwenye kazi bila kusubiri kuelekezwa kutoka kwa…

Soma Zaidi »

Serikali kuanzisha kituo cha zana za kilimo Geita

SERIKALI kupitia Wizara ya Kilimo imetoa zana za kilimo ambazo ni trekta tano, pawatila 16 pamoja na viambata vyake kwa…

Soma Zaidi »

Ulega kukagua miradi Mkoa wa Kilimanjaro

WAZIRI wa Ujenzi, Abdallah Ulega leo tarehe 29 Novemba, 2025 amekutana na Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro Nurdin Babu katika…

Soma Zaidi »

Tunduru yapokea mradi wa oksijeni wa bil 1.5/-

HOSPITALI ya Wilaya ya Tunduru imekabidhiwa rasmi mradi wa uzalishaji na usambazaji wa hewa tiba ya oksijeni, unaogharimu sh bilioni…

Soma Zaidi »

Ujenzi madaraja barabara ya Kusini wafika patamu

WAZIRI wa Ujenzi, Abdallah Ulega, amekagua na kuridhishwa na hatua mbalimbali za ujenzi wa madaraja ya dharura yaliyoko katika Mkoa…

Soma Zaidi »

Dk Mwigulu aagiza mkandarasi kukamatwa, kuzuia hati yake

WAZIRI Mkuu Dk Mwigulu Nchemba, ameelekeza Jeshi la Polisi na Uhamiaji kuhakikisha wanamkamata na kuzuia hati ya kusafiria ya mkandarasi…

Soma Zaidi »

Wazee Tanga waasa vijana

Wazee jijini Tanga wamewashauri vijana kuacha mihemko katika maamuzi badala yake wasikilize ushauri wa watu waliowazidi umri ambao wana ukomavu…

Soma Zaidi »

Watuhumiwa 93 wa vurugu za uchaguzi wafikishwa mahakamani Mwanza

KESI inayowakabili watuhumiwa 93 kati ya 172 wanaodaiwa kuhusika katika matukio ya uhalifu yaliyotokea wakati wa uchaguzi Mkuu wa Oktoba…

Soma Zaidi »
Back to top button