Zanzibar

Rais Mwinyi kutangaza Baraza jipya la Mawaziri

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk. Hussein Ali Mwinyi, anatarajiwa kutangaza Baraza jipya la Mawaziri kesho,…

Soma Zaidi »

SMZ yapunguza tozo vyakula kudhibiti mfumuko wa bei

KATIKA kukabiliana na kudhibiti mfumuko wa bei za bidhaa za chakula uliojitokeza nchini, Shirika la Bandari la Zanzibar (ZPC) limetangaza…

Soma Zaidi »

Rais Mwinyi amuapisha Makamu wa Pili

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk. Hussein Ali Mwinyi, amemuapisha Hemed Suleiman Abdulla kuwa Makamu wa…

Soma Zaidi »

Wajumbe wateule waapishwa

ZANZIBAR : SPIKA wa Baraza la Wawakilishi, Zuberi Ali Maulid, amewaapisha wajumbe wateule wa Baraza hilo leo, kufuatia uteuzi uliofanywa…

Soma Zaidi »

Dk. Mwinyi awateua wajumbe wapya

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk. Hussein Ali Mwinyi, amewateua wajumbe nane wa Baraza la Wawakilishi…

Soma Zaidi »

Hemed ateuliwa tena Makamu wa Pili

ZANZIBAR : RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk. Hussein Ali Mwinyi, amemteua tena Hemed Suleiman Abdulla…

Soma Zaidi »

Othman aanza safari ya kuimarisha chama

MWENYEKITI wa Chama cha ACT Wazalendo na aliyekuwa mgombea urais wa Zanzibar, Othman Masoud Othman, ameanza ziara maalum ya siku…

Soma Zaidi »

Rais Mwinyi amuapisha Mwanasheria Mkuu Zanzibar

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk. Hussein Ali Mwinyi, amemuapisha Dk. Mwinyi Talib Haji kuwa Mwanasheria…

Soma Zaidi »

Zuberi Maulid ashinda kwa kishindo Spika Baraza la Wawakilishi

BARAZA la Wawakilishi Zanzibar leo limemchagua Zuberi Ali Maulid wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) kuwa Spika wa Baraza hilo, baada…

Soma Zaidi »

Dk.Talib ateuliwa Mwanasheria Mkuu Zanzibar

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Hussein Ali Mwinyi amemteua tena Dk Mwinyi Talib Haji kuwa…

Soma Zaidi »
Back to top button