CCM wafunga kampeni kwa kishindo Bukoba

BUKOBA: Maelfu ya wananchi na wadau wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Jimbo la Bukoba Mjini wameshuhudia kampeni za mgombea ubunge CCM, Mhandisi Johanseni Mtasingwa zimehitimishwa kwa kishindo ikiwa ni siku moja kabla ya kupiga kura.

Mgombea ubunge Jimbo la Bukoba Mjini Mhandisi Mtasingwa amewahakikishia wanachi kuwa atashirikiana na serikali kukamilisha miradi yote ilianzishwa na kuanzisha mipya.

“Najua Kuna stendi kuu soko la Bukoba ,kingo za mto kanoni miundombinu ya Barabara na kupendezesha mji wa Bukoba nitazitekeleza ,nitatekeleza ilani ya chama Cha Mapinduzi na kuwa mtumishi wenu

Viongozi mbalimbali wa CCM wamenadi Ilani na sera za chama hicho ambapo wamewaomba wanachi kuchagua chama Cha Mapinduzi kwa Ngazi za ubunge Uraisi na udiwani.

Habari Zifananazo

One Comment

  1. I am making effectively tirelessly $15k to $20k basically by doing coordinate work at domestic. Multi month once more i have made $45890 from this development. astounding and smooth mac to do work and standard pay from this can be stupefying. i have propose each last one of you to connect this advance right specifically as moo security and get than full time compensation through take after this affiliation.
    :
    ) AND Great Good fortune.:
    )
    HERE====)> https://cashprofit7.site

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Back to top button