CCM yaahidi stendi ya kisasa Mwanga

MWANGA, Kilimanjaro: CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) kimewaahidi wakazi wa Wilaya ya Mwanga mkoani Kilimanjaro, kuwa kikipata ridhaa ya kuwa madarakani miaka mitano ijayo, kitajenga stendi mpya kisasa katika eneo la Mwanga.

Hatua hiyo italenga kutatua changamoto ya muda mrefu ya ukosefu wa stendi katika mji huo.

Mgombea Mwenza wa Urais wa chama hicho, Balozi Dk Emmanuel Nchimbi amesema hayo leo katika viwanja vya Cleopa Msuya Mwanga akizungumza kwenye mkutano wa hadhara.

Kauli hiyo iliibuka shangwe na vigelegele kwa wananchi wa eneo hilo ambao walisema ukosefu wa stendi imekuwa changamoto kubwa kwao sasa kilio chao kimesikika.

Habari Zifananazo

One Comment

  1. Ultimately, I was able to recover $48,500 of my initial deposit, a result I had almost abandoned hope of achieving. My experience served as a valuable lesson. The crypto gaming sector is fraught with hidden dangers, and not every platform is as trustworthy as it presents itself to be. Thorough research is essential, and seeking support from DUNE NECTAR WEB EXPERT is advisable if you encounter Cryptocurrency Fraud.

    – Te/eGram – @dunenectarwebexpert

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Back to top button