CCM yaja na mpango kuboresha barabara Moro

MOROGORO: CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) kimeahidi kuwa endapo kikipata ridhaa ya kuongoza tena miaka mitano ijayo, kitaanza kusuka upya miundombinu ya barabara mkoani Morogoro.
Ujenzi huo utakuwa wa kiwango cha lami barabara 25, kati ya hizo 17 zikiwa za kiwango cha changarawe na nane za lami zenye jumla ya kilometa 827.6.
Mgombea Mwenza wa Urais kupitia CCM, Balozi Dk Emmanuel Nchimbi amesema hayo akizungumza kwenye mkutano wa hadhara wa kampeni uliofanyika Mikumbi mkoani Morogoro.
Alisema uboreshaji na ujenzi huo wa barabara ni sehemu ya utekelezaji wa Ilani ya uchaguzi ya mwaka 2025/2030.
Alisema serikali itatekeleza mpango huo ili kufungua zaidi fursa za biashara, kilimo, ufugaji na utali.
I’m making over $25,000 a month working part-time. I kept hearing other people talk about how much money they were making online, so I decided to look into it. Well, it’s all true and has completely changed my life. This is what I do. Check it out by visiting the following link:
COPY THIS →→→→ http://Www.Work99.Site
Google is now paying $300 to $500 per hour for doing work online work from home. Last paycheck of me said that $20537 from this easy and simple job. Its amazing and earns are awesome. No boss, full time freedom and earnings are in front of you. This job is just awesome. Every person can makes income online with google easily……….
.
More Details For Us→→→→ http://Www.Payathome9.Com
I am making a good salary from home $4580-$5240/week , which is amazing under a year ago I was jobless in a horrible economy. I thank God every day I was blessed with these instructions and now its my duty to pay it forward and share it with Everyone,Here is I started_______ https://cashprofit7.site