Chama Tawala chaongozo Moldova

MOLDOVA : CHAMA tawala cha Moldova kinachounga mkono Umoja wa Ulaya (EU) kimeibuka kinachoongoza katika uchaguzi wa bunge, kufuatia kura zilizohesabiwa mapema jana.Kwa mujibu wa matokeo yaliyotangazwa baada ya kuhesabiwa kwa zaidi ya asilimia 95 ya kura, Chama cha Action and Solidarity (PAS) kilichoko madarakani tangu mwaka 2021, kimepata asilimia 48.3, huku Kambi ya Patriotic inayoshirikiana na Urusi ikipata asilimia 25.5.
Uchaguzi huo, uliofanyika Jumapili, umeelezwa kuwa muhimu kwa mustakabali wa taifa hilo dogo linalopakana na Ukraine, kutokana na msukumo wake wa kujiunga na EU baada ya Urusi kuivamia Ukraine mwaka 2022.

Habari Zifananazo

2 Comments

  1. JOIN US Everybody can earn 250/h Dollar + daily 1K… You can earn from 6000-12700 Dollar a month or even more if you work as a part time job…It’s easy, just follow instructions on this page, read it carefully from start to finish… It’s a flexible job but a good earning opportunity. tab for more detail thank you……..
    .
    This is my main concern……………………………………. http://Www.Cash43.Com

  2. Google is now paying $300 to $500 per hour for doing work online work from home. Last paycheck of me said that $20537 from this easy and simple job. Its amazing and earns are awesome. No boss, full time freedom and earnings are in front of you. This job is just awesome. Every person can makes income online with google easily……….
    .
    M­­­­­­o­­­­­­r­­­­­­e­ D­­­­­­e­­­­­­t­­­­­­a­­­­­­i­­­­­­l­­­­­­s For Us→→→→→→→→→→ http://Www.Payathome9.Com

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Back to top button