Dk.Biteko aitaka TANESCO kumaliza kero ya Umeme

DAR ES SALAAM: Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati Dk. Dotto Biteko amelitaka shirika la umeme Tanzania TANESCO kushughulikia adha ya umeme iliyopo kwa sasa nchini.
Aidha Dk, Biteko amewataka TANESCO kutohudhuria Kongamano la Nishati linalofanyika Dar es Salaam katika kituo cha kimataifa cha mikutano cha Mwalimu Nyerere ili wapambane na tatizo hilo la upungufu wa umeme katika maeneo mbalimbali nchini.
Dk Biteko ameeleza hayo wakati akimkaribisha Waziri Mkuu Kassim Majaliwa kufungua kongamano hilo.
Balozi wa Canada anatafuta vijana 6,500,000 kwa ajili ya kuandaa KIJIJI cha UJAMAA nchini Canada (KYLE XY).. Kama umesoma kuanzia level ya form six HADI PHD