Dk.Biteko aitaka TANESCO kumaliza kero ya Umeme

DAR ES SALAAM: Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati Dk. Dotto Biteko amelitaka shirika la umeme Tanzania TANESCO kushughulikia adha ya umeme iliyopo kwa sasa nchini.

Aidha Dk, Biteko amewataka TANESCO kutohudhuria  Kongamano la Nishati linalofanyika Dar es Salaam katika kituo cha kimataifa cha mikutano cha Mwalimu Nyerere ili wapambane na tatizo hilo la upungufu wa umeme katika maeneo mbalimbali nchini.

Dk Biteko ameeleza hayo wakati akimkaribisha Waziri Mkuu Kassim Majaliwa kufungua kongamano hilo.

Habari Zifananazo

Subscribe
Notify of
guest
1 Comment
Oldest
Newest Most Voted
Inline Feedbacks
View all comments
UMASIKINI
UMASIKINI
2 months ago

Balozi wa Canada anatafuta vijana 6,500,000 kwa ajili ya kuandaa KIJIJI cha UJAMAA nchini Canada (KYLE XY).. Kama umesoma kuanzia level ya form six HADI PHD

Capture-1695199354.9581-221x300.jpg
Back to top button
1
0
Would love your thoughts, please comment.x
()
x