Dk Tulia: Suala la umri wa binti kuolewa linafanyiwa kazi

DSM: SPIKA wa Bunge Dk Tulia Ackson amesema suala la sheria ya umri wa binti kuolewa linafanyiwa kazi na anaamini litafikia pazuri baada ya jamii kuwa na sauti moja.
Akizungumza wakati wa kuadhimisha siku ya mtoto wa kike amesema mabadiliko ya sheria ya ndoa wakati mwingine watu wanakuwa hawatuelewi kwani linachukua muda mrefu.
Amesema anakubaliana na mabadiliko ya sheria ya ndoa huku akitaja kuwa umri wa miaka 18 bado ni mdogo kwake.
“Lakini muelewe tu kuwa linafanyiwa kazi na ni mjadala mpana kwasababu lina mambo mengi ikiwa ni pamoja na mila na desturi zetu lakini pia Tanzania haina dini ila watu wake wana dini.”amesema
Amebainisha kuwa jamii zinamsukuma binti kuolewa akiwa amevunja ungo hivyo inahitaji kwenda pamoja ili wasije kumwacha mtu nyuma.
“Na kwa upande wa elimu wamepiga hatua ambapo binti akiwa yupo shule haruhusiwi kuolewa lakini mpaka anamaliza kidato cha sita sio rahisi kuwa na umri wa miaka 18 suala hilo linafanyiwa kazi na tunaamini itafika pazuri tutakubaliana na kuwa na sauti moja wakati utakapofika,”amesisitiza
I am making $100 an hour working from home. I never imagined that it was honest to goodness yet my closest companion is earning $16,000 a month by working on a laptop, that was really dumbfounding for me, she prescribed for me to attempt it simply. Everybody must try this for this job now by just using
this site link… http://Www.Smartcash1.com
I’m making $90 an hour working from home. i was greatly surprised at the same time as my neighbour advised me she changed into averaging $100 however I see the way it works now. I experience mass freedom now that I’m my non-public boss. Everybody must try this job now by just using this website……. http://Www.SmartCash1.com