Eriksen, Hojlund waumia

MANCHESTER, England: KIUNGO wa Manchester United, Christian Eriksen atakuwa atakosa michezo kadhaa kutokana na majeraha ya kifundo cha mguu.
Majeraha hayo huenda yakamuweka nje mchezaji huyo kwa mwezi mmoja, taarifa ya klabu hiyo imeeleza kupitia tovuti yao.
Mshambuliaji Rasmus Højlund pia anasumbuliwa na nyama za paja, United imeeleza huenda Hojlund akarejea mwishoni mwa mwezi huu.
Kikosi cha Ten Hag hivi karibuni kimewakosa majeruhi wachache wakiwemo Lisandro Martinez, Luke Shaw, Tyrell Malacia, Jonny Evans, Casemiro na Amad Diallo huku Aaron Wan-Bissaka akikosekana mechi dhidi ya Luton kutokana na kuugua.
BARUA YA WAZI KWA MWANAMZIKI MASHUHURI ZUCHU au UCHU
TUPO DARASANI TUNAMSUBIRI MWALIMU… HAYA MAMBO HAYATAKIWI KWA NINI YAPO KAMA NA KWA NINI YANAZUNGUMZIWA KWENYE JAMII AU WATU
1. UVAMIZI WA VIWANJA,
2. HATUNA KAZI,
3. MADAWA YA KULEVYA,
4. BANGI,
5. UMALAYA,
6. MAPENZI YA JINSIA MOJA
7. KUACHANA
8. UFISADI
9. VITA
10. ULEVI
11. MAUAJI
12. KUELEWA KAZI/MASOMO
13. KUSOMA SANA N.K
14. ubakaji
15. ulawiti
16. KUROGWA NA WAZUNGU KUPITIA MOVIE ZA PONOGRAFIA – kuwa unatakiwa ufanye
POTEKEA HIZI NDIO TAKWIMU ZA WATU WANAOJIUA KILA SIKU/WIKI/MWEZI/MWAKA/SAA/DAKIKA/SEKUNDE.. TUTAENDELEA KUHESABU
Suicide – WHO response
Key facts
Making every month extra dollars by doing an easy job Online. Last month i have earned and received $18539 from this home based job just by giving this only mine 2 hrs a day. Easy to do work even a child can get this and start making money Online. Get this today by follow instructions
.
.
.
On This Website……………..> > http://remarkableincome09.blogspot.com
I’ve gained only within four weeks by comfortably working part-time from home. Immediately when I had lost my last business, mtg I was very troubled and thankfully
following website___________ http://Www.Careers12.com