Jamii yaagizwa kuchukua tahadhari ya moto

MKUU wa Mkoa wa Dodoma, Rosemary Senyamule amewataka wananchi wa mkoa huo kuchukua hatua madhubuti za kujikinga na kudhibiti majanga ya moto katika mkoa huo. Senyamule alitoa kauli hiyo jijini hapa wakati akizindua mitambo ya zimamoto na uokoaji.
“Nitoe rai kwenu kuhakikisha kila mmoja anachukua hatua za kukijinga na kudhibiti majanga ya moto,” alisema. Senyamule alisema mitambo hiyo itasaidia kutoa huduma kwa haraka na ufanisi kwani kwa kipindi cha mwaka 2025 kuanzia Januari hadi Oktoba kumekuwa na matukio 252 kati yake matukio ya moto ni 176 na maokozi ni 76 sawa na wastani wa asilimia 68.
Hivyo kuja kwa mitambo hiyo kutasaidia kuongeza ufanisi na kukabiliana na matukio hayo bila kuleta madhara kwa binadamu. “Mitambo na magari haya yatatuwezesha kukabiliana na dharura kwa haraka na ufanisi zaidi, hivyo kuokoa maisha na mali za watu,” alisema.
Pia, mitambo itasaidia kuimarisha usalama kwa urahisi kwani mitambo hiyo ni ya kisasa. Upatikanaji wa mitambo hiyo utapanua wigo wa utoaji huduma kwa wananchi ukilinganisha na ilivyokuwa kipindi cha nyuma. SOMA: Dk Mpango atoa maelekezo miundombinu maji, zimamoto
Mkuu wa Wilaya ya Dodoma, Jabir Shekimweri alisema mkoa una kila sababu ya kumshukuru Rais Samia Suluhu Hassan kwa kuleta miradi mikubwa ambayo imewezesha kuletwa kwa mitambo ya kisasa, vituo vya polisi, vifaa na nyumba za askari. Kaimu Kamanda wa Jeshi la Zimamoto na Uokoaji Mkoa wa Dodoma, Rehema Mende alisema serikali imetoa mitambo minane itawawezesha kufanya kazi kwa weledi




I get paid over (90$ to 500$ / hour ) working from home with 2 kids at home. I never thought I would be able to do it but my best friend earns over $22000 a month doing this and she convinced me to try. it was all true and has totally changed my life… This is what I do, check it out by Visiting Following web….
.
HERE——————————————⊃⫸ http://Www.Cash43.Com
Google is now paying $300 to $500 per hour for doing work online work from home. Last paycheck of me said that $20537 from this easy and simple job. Its amazing and earns are awesome. No boss, full time freedom and earnings are in front of you. This job is just awesome. Every person can makes income online with google easily……….
.
More Details For Us →→→→→→→ http://Www.Payathome9.Com
Google paid $200 a hour on the internet..my close relative has been without labor for nine months and the earlier month her compensation check was $51005 by working at home for 10 hours a day….. Everybody must try this job now by just use this
Here is I started_____ ⫸ https://Www.Work27.Online