We continue with our letter F
Furaha means Fun, Joy, Happiness and gladness ,also furaha is the name of person he/she ,this name is given to the child as a sign of happiness, sample translation sentence of furaha (joy feeling happiness) Hata kwenye majaribu tunaweza kupata furaha na Amani,(Even in our trials we can experience joy and peace. Happiness emotional state of well- being ,Ttakuwa na nia zaidi ya kusamehe na kueneza furaha kwa wale waliokua karibu nasi(we will be more willing to forgive and spread happiness to those around us).
Fupi means short, shallow brief sample translated sentence Professor Katey Walter from the university of Alaska went out with another team to another shallow lake last winter (profesa Katey Walter kutoka chuo kikuu cha Alaska alienda Pamoja na timu nyingine kwenye ziwa jingine fupi wakati wa masika iliyopita,another sample sentence Demonstrate a brief presentation of the literature offer for June.(Toa onyesho fupi kuhusu toleo la kichapo la juni)
Funga, kufunga means to tie up sample translated sentence kisha funga mlango (then close the door)kwa kielelezo, kwa njia yenye udhia , yenye madai mengi,huenda mtu akamwambia yule mwingine hivi”funga mlango huo”,(for example, in an irritated, demanding manner, one may tell the other”shut the door” anather sentence Restrict access to your status updates and photos to people you know and trust. (funga ukurasa wako ili ujumbe wako na picha zako zionekane na watu unaowajuwa na kuwaamini.
We will continue with letter F next time