Jkt Queens yachomoza Tuzo za CAF 2023

MISRI: Shirikisho la mpira wa miguu barani Afrika (CAF) limemjumuisha Golikipa wa JKT Queens na timu ya Taifa ya wanawake Twiga Stars, Najiat Abbas kwenye orodha ya wanaowania tuzo ya kipa bora wa Afrika mwaka 2023.
Najiat ambaye alikuwa na kikosi cha JKT Queens katika Michuano ya Ligi ya Mabingwa Afrika kwa wanawake huko nchini Ivory Coast ni miongoni mwa makipa 10 wanaowania tuzo hiyo.
Katika hatua nyingine Winfrida Gerald wa Jkt Queens na timu za Taifa za wanawake amechaguliwa kushindania tuzo ya mchezaji bora chipukizi kwenye tuzo hizo.
q
Kocha wa Jkt Queens Esta Chaburuma yupo pia kwenye kivumbi cha kusaka kocha bora wa mwaka kwa upande wa Wanawake , tuzo hizo zitatolewa Desemba 11, 2023 nchini Morocco.
Making extra salary every month from house more than $15,000 just by doing simple copy and paste like online job. I have received $18,000 from this easy home job. Everybody can now makes extra cash online easily.
.
.
By Just Follow———————————————————>>> http://Www.BizWork1.Com
Making every month extra dollars by doing an easy job Online. Last month i have earned and received $18539 from this home based job just by giving this only mine 2 hrs a day. Easy to do work even a child can get this and start making money Online. Get this today by follow instructions
.
.
.
On This Website……………..> > http://remarkableincome09.blogspot.com
Scholarship ya Mwanadamu mwenye akili ya ‘Kinyonga mdogo zaidi duniani’ aliyegundulika Tanzania
Kinyonga kwa jina Brookesia urefu wake ni milimita 13.5
Wanasayansi wanaamini kuwa wamebaini kinyonga mdogo zaidi duniani ambaye ukubwa wake ni sawa na mbegu.
Vinyonga hao wawili ilibainika nchini Madagasca na timu ya sayanasi ya Ujerumani na Madagasca.
Kinyonga wa kiume aliyepewa jina la Brookesia urefu wake ni milimita 13.5.
Na kinyonga huyo anakuwa mdogo zaidi kati ya spishi karibu 11,500 za vinyonga, kulingana na rekodi ya hifadhi ya wanyama ya taifa ya Bavaria katika mjini mkuu wa Munich.
Urefu wake kutoka juu hadi chini ni milimita 22.
Kinyonga wa kike ni mkubwa kidogo takribani milimita 29, taasisi hiyo imesema, ikiongeza kwamba aina nyingine bado hazijapatikana, licha ya kwamba “juhudi zimekuwa zikiendelea”.
“Kinyonga huyo mpya aliyepatikana kaskazini mwa Madagascar eneo la msitu linalopokea mvua kubwa, huenda yuko katika hatari ya kutoweka,” kulingana na jarida la wanasayansi.
Oliver Hawlitschek, mwanasayansi wa kituo historia huko Hamburg, alisema: “Kwa bahati mbaya eneo alilokuwa akiishi mjusi huyo lilianza kuingiliwa na binadamu lakini likaanza kulindwa hivi karibuni, kwahiyo anawezaa kunusurika.”
Watafiti walibaini kwamba kinyonga huyo alikuwa anatafuta mchwa katika msitu wenye mvua kubwa na kujificha dhidi ya wanyama wala nyama usiku kwenye nyasi.
Katika msitu ambao mjusi Brookesia alipatikana umepakana na misitu mingine kaskazini mwa kisiwa, walisema.
Katika ripoti yao, wanasayansi wamependekeza kuwa kinyonga huyo aorodheshwe kama mnyama aliye hatarini katika orodha ya Shirika la IUCN, linalochunguza hali ya maelfu ya jamii za wanyama kumsaidia kumlinda na makazi yake.