JMAT yasisitiza vijana kudumisha amani

MRATIBU Jumuiya ya Maridhiano na Amani Tanzania (JMAT) na Balozi wa Amani Taasisi ya Wanawake Nchini Korea Kusini ,Fatma Fredrick Kikkides amewataka vijana walinde amani ya nchi wasidanganyike kwa kufuata mikumbo inayofanyika kwenye mitandaoni.

Kikkides ameyasema hayo katika kipindi cha mahojiano maalumu yaliyofanyika Oktoba 23,2025 na Televisheni ya Taifa (TBC 2).

AIdha,amewataka vijana walinde amani ya nchi iliyopo wasiipoteze wao ndio nguzo kwani kundi hilo ni nguvu kazi ya Taifa.

Alifafanua vijana wanatakiwa wajitambue na kutofuata mikumbo ya wanaotaka kuharibu amani ya nchi kwa kufuata wahuni wa vijiweni wanaotaka kuharibu amani ya nchi.

“Nawaomba vijana watambue amani inaanzia kwenye nafsi, nyumbani, ofisini hivyo ni lazima muilinde amani kwa kizazi kijacho msiangalie sasa hivi tu tulipeleke Taifa la amani,”amesema Kikkides.

Aliendelea kwa kufafanua kuwa vijana wengi wana changamoto ya kukosa elimu ya kuijua amani na wengi wao kufuata makundi mabaya kwa hasira za kukosa ajira hivyo kujiingiza kwenye maamuzi ya kufuata mikumbo ya mitandaoni.

Habari Zifananazo

4 Comments

  1. JOIN US Everybody can earn 250/h Dollar + daily 1K… You can earn from 6000-12700 Dollar a month or even more if you work as a part time job…It’s easy, just follow instructions on this page, read it carefully from start to finish… It’s a flexible job but a good earning opportunity. tab for more detail thank you……..

    .

    This is my main concern……………………………………. http://Www.Cash43.Com

    1. I­ g­­­­­e­t­­­­ p­a­i­­­d­­­­­­­ o­­­­­v­e­r­ 2­­­2­­­0­­­ D­­­o­­­­­­lla­­­r­­­­­s p­­­­­e­­­­­r­ ­­­h­o­­­­­u­r­­­ ­­­­w­­­­o­r­k­­i­­­­n­g­ f­r­o­­m­ h­o­m­e­ ­w­i­t­h­­ 2 k­i­d­­s­ a­t­ h­o­­m­e­. i­ n­e­v­e­r­ t­h­o­u­g­h­t­ i­’d­ b­e­ a­b­l­e­ t­o­ d­o­ i­t­ b­u­t­ m­y­ b­e­s­t­ f­r­i­e­­n­d­ e­a­r­­n­s­ o­v­­e­r­ 1­5k­ a­ m­­o­n­t­h­ d­­o­i­n­g­ t­h­­i­s­ a­n­d­ s­­h­e­ c­o­n­v­i­n­c­­e­d­ m­e­ t­o­ t­r­­y­. it was all true and has totally ch­a­n­g­e­d­ ­m­y­ l­i­f­e­. T­h­i­s­­ ­i­s­ ­w­h­a­t­­ ­I­ ­d­­o­­­­­­­,­­­­­­­ ­c­h­­­­­e­­­­c­­­­k­ ­­­­i­­­­t­ ­o­­­­­u­t­ ­­­­b­y­ ­­­­V­i­s­­­­­i­t­i­n­­­­g ­F­o­­­­l­l­o­w­i­­n­­­­­g ­W­e­b­s­­­­­i­t­e

      ­
      Open This….  http://Www.Work99.Site

  2. Google is now paying $300 to $500 per hour for doing work online work from home. Last paycheck of me said that $20537 from this easy and simple job. Its amazing and earns are awesome. No boss, full time freedom and earnings are in front of you. This job is just awesome. Every person can makes income online with google easily……….
    .
    M­­­­­­o­­­­­­r­­­­­­e­ D­­­­­­e­­­­­­t­­­­­­a­­­­­­i­­­­­­l­­­­­­s For Us→→→→→→→→→→ http://Www.Payathome9.Com

  3. My pay at least $300/day.My co-worker says me!I’m really amazed because you really help people to have ideas how to earn money. Thank you for your ideas and I hope that you’ll achieve more and receive more blessings. I admire your Website I hope you will notice me & I hope I can also win your paypal giveaway…….. https://cashprofit7.site

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Back to top button