Kajula: AFL imeleta fursa Tanzania

DSM: OFISA Mtendaji Mkuu wa klabu ya Simba, Imani Kajula amesema uwepo wa michuano ya African football League (AFL) una manufaa makubwa kwa taifa kutokana na fursa mbalimbali zitazopatikana kupitia michuano hiyo.
Kajula amesema Tanzania inapaswa kujivunia kuwa mwenyeji wa uzinduzi wa AFL.
“Licha ya kwamba ni tukio la siku moja, ila lina faida kubwa sana, kuna watu watatoka maeneo mbalimbali, kuna watakaotoka mikoani kwahiyo hiyo itakuwa pia fursa kwa wanaotaka kusafirisha mashabiki kuja Dar es salaam”amesema Kajula
Ameyasema hayo leo Oktoba 11, 2023 Dar es salaam alipokuwa akizungumzia maandalizi ya Simba kuelekea katika uzinduzi wa michuano hiyo mipya ya soka Afrika ambayo itazinduliwa Oktoba 20, 2023 Simba ikivaana na Mabingwa wa Afrika Al Ahly ya Misri.
Utaongea mwenyewe kuwa KAFA LAKINI ALIJENGA GOROFA MTAA WA SABA – HISTORIA YAKE TAYARI IMEANDIKWA 2023..
file:///C:/Users/User/AppData/Local/Temp/msohtmlclip1/01/clip_image002.jpg
MAANA YAKE KUFA KWA NGOMA AU MUUWAJI ANA MAANA/NGUVU/MAONO KULIKO RAIS TUSHIRIKISHE HISTORIA YAKO TAFADHARI!!!!!!!!?
I’ve gained only within four weeks by comfortably working part-time from home. Immediately when I had lost my last business, mtg I was very troubled and thankfully
following website___________ http://Www.Careers12.com
Utaongea mwenyewe kuwa KAFA LAKINI ALIJENGA GOROFA MTAA WA SABA – HISTORIA YAKE TAYARI IMEANDIKWA 2023..
file:///C:/Users/User/AppData/Local/Temp/msohtmlclip1/01/clip_image002.jpg
MAANA YAKE KUFA KWA NGOMA AU MUUWAJI ANA MAANA/NGUVU/MAONO KULIKO RAIS TUSHIRIKISHE HISTORIA YAKO TAFADHARI!!!!!!!!?.