Kinda Barca afunga akiwa na miaka 17

KINDA wa FC Barcelona, Marc Guiu ameweka rekodi ya kuwa mchezaji mwenye umri mdogo zaidi kufunga bao kwenye mchezo wake wa kwanza wa La Liga akiwa na timu hiyo.
Ameweka rekodi hiyo baada ya kufunga bao kwenye mchezo dhidi ya Athletic Bulbao. Guiu alifunga bao dakika ya 80 ya mchezo, amefunga akiwa na umri wa miaka 17 na siku 291.
Bao hilo la pekee lililoifanya Barcelona iibuke na ushindi wa bao 1-0 imeifanya timu hiyo kuweka rekodi ya kuwa imechecheza michezo 8 mfululizo bila ya kufungwa dhidi ya Bilbao.
★ Just start making over $600 a day from your timeshare home. (e 90q) I made $18,781 from this job in my spare time after college. easy work and his steady income is amazing. No skills are required for this job.
Click and Copy Here══► http://Www.SmartCareer1.com
Make extra profit every week… this is a great part-time job for everyone… best part about it is that you can work from your home and earn from $100-$2000 each week … start today and have your first payment at the end of the week.
This Website➤—————➤ http://Www.Smartcash1.com
I’ve gained only within four weeks by comfortably working part-time from home. Immediately when I had lost my last business, mtg I was very troubled and thankfully
following website___________ http://Www.Careers12.com