Kiwanda cha betri kujengwa nchini

DODOMA: TANZANIA kwa kushirikiana na serikali ya Marekani inakamilisha taratibu za ujenzi wa kiwanda cha kuchakata madini ya kutengenezea betri za magari ya umeme kinachotarajiwa kukamilika mwaka 2026.

Hayo yamesemwa leo na Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki anayeshughulikia Afrika Mashariki Stephen Byabato ameyasema hayo leo Novemba 8, 2023 akijibu swali Bungeni lililoulizwa na Mbunge wa Baraza la Wawakilishi Ameir Abdallah Ameir aliyetaka kujua mchango wa diplomasia ya uchumi katika kuleta mapinduzi ya Sayansi na Teknolojia na sekta za uzalishaji.

Amesema Diplomasia ya uchumi ni sehemu ya utekelezaji wa Sera ya Mambo ya Nje inayojumuisha mipango na mikakati ili kunufaisha taifa kiuchumi, kijamii na kisiasa unaofanyika kupitia ushirikiano baina ya Tanzania, mataifa mbalimbali, jumuiya za kikanda na za kimataifa.

Pia, ujenzi wa kiwanda hicho kitaleta teknolojia mpya ya utengenezaji wa vifaa vya magari, kuhaulisha teknolojia nchini na kuibua vipaji vipya kwa vijana watakaopata ajira katika Kiwanda hicho.
Amesema diplomasia ya uchumi inasaidia upatikanaji wa masoko ya bidhaa za Tanzania nje ya nchi.

“Mwezi Septemba, 2023 Tanzania imeuza tani 13,708 za nyama ikilinganishwa na tani 1,777 zilizouzwa mwaka 2020/21,” amesema Byabato na kuongeza

“Masoko hayo yamepatikana katika nchi za China, Kuwait, Oman, Qatar, Vietnam na Umoja wa Falme za Kiarabu….; “masoko haya yamechochea sekta ya uzalishaji kwa ujumla wake,” amesema.

Habari Zifananazo

Subscribe
Notify of
guest
3 Comments
Oldest
Newest Most Voted
Inline Feedbacks
View all comments
Marie Allen
Marie Allen
26 days ago

I get paid more than $140 to $170 per hour for working online. I heard about this job 3 months ago and after joining this (Qd)I have earned easily $25k from this without having online working skills . Simply give it a shot on the accompanying site…
.
.
.
Here is I started.…………>> http://Www.Smartcareer1.com

Julia
Julia
26 days ago

Everybody can earn 500 dollars daily. Yes! you can earn more than you think by working online from home. I have been doing this job for like a few weeks and my last week payment was exactly 30,000 dollars.
.
.
Detail Here—————————————————————>>> http://Www.BizWork1.Com

Eileenritchett
Eileenritchett
26 days ago

I’ve gained only within four weeks by comfortably working part-time from home. Immediately when I had lost my last business, mtg I was very troubled and thankfully
following website___________ http://Www.Careers12.com

Last edited 26 days ago by Eileenritchett
Back to top button
3
0
Would love your thoughts, please comment.x
()
x