Kocha Geita Gold mikononi mwa Mkurugenzi Geita

MKURUGENZI wa Halmashauri ya Mji wa Geita, Zahara Michuzi amemtaka kocha mkuu wa timu ya Geita Gold inayomilikiwa na halmashauri hiyo afike ofisini kwake mara moja kueleza kiini cha matokeo mabaya.
Zahara ametoa maelekezo hayo katika mahojiano maalum na waandishi wa habari mjini Geita na kueleza haridhishwi na mwenendo wa timu hivo benchi la ufundi wafike kumueleza kikwazo ni nini.
“Nimetoa wito na angalizo kwa mwalimu wa timu ya Geita Gold Fc, kwanza anione kabla sijamtafuta, yeye pamoja na benchi lake na ufundi, kabla ya hatua yeyote tunaweza tukazungumza, kujua kwamba tunakwama wapi.
“Sisi kama halmashauri wamiliki wa ile timu hatujawajibika wapi, labda tunamkwamisha mwalimu, lakini niwahakikishieni timu ile sisi kama halmashauri tumewajibika kadri ya uwezo wetu kuhakikisha inafanya vizuri.
“Lakini tunataka tuwasikilize na wenzetu wa upande wa pili wanasemaje, kama changamoto itakuwa ni ya kwao tutawapa angalizo la kurekebisha ile changamoto na tunataka tuone matokeo.”
Amekiri matokeo ya suluhu waliyopata Geita Gold Fc ugenini mkoani Mbeya dhidi ya Tanzania Prisons yanatoa mwanga wa mabadiliko lakini lazima hatua thabiti zichukuliwe kumaliza ukata wa matokeo mazuri.
“Kama changamoto ipo kwa wachezaji basi na kwenyewe tutachukua hatua, hakuna mkubwa zaidi ya mwajiri, na mwajiri ni halmashauri, hakuna mkubwa yeyote kwenye timu zaidi ya mwajiri.
Zahara amesisiza timu ya Geita Gold mpaka sasa ipo kwenye matazamio na yeyeote atakayesumbua na kuonekana kikwazo ndani ya timu atachukuliwa hatua kulingana na makubaliano ya mikataba.
Ikumbukwe Geita Gold Fc inafundishwa na kocha Hemed Suleiman, ambaye tangu apewe dhamana hiyo, imecheza michezo nane ya ligi kuu ya Tanzania bara na kupoteza michezo minne, kupata sare tatu na ushindi mmoja pekee.
SERIKALI YA WANYONGE MWAKA 2220
1. Toyota Alphard 2021 White in Kinondoni – Cars, George Mahimbo | Jiji.co.tz
2. Land Rover Range Rover Vogue 2021 Black in Kinondoni – Cars, thebluesanthonio | Jiji.co.tz
3. Land Rover Range Rover 2019 Burgundy in Kinondoni – Cars, Jm Motors Vigo | Jiji.co.tz
4. BMW X5 2008 White in Kinondoni – Cars, George Mahimbo | Jiji.co.tz
5. BMW X5 2007 Gray in Kinondoni – Cars, Cars Guru Tanzania | Jiji.co.tz
6. BMW X5 2015 White in Kinondoni – Cars, Franklin Carsforyou | Jiji.co.tz
7. BMW R-Series 2022 Blue in Kinondoni – Cars, Andrew Kingo Jr | Jiji.co.tz
8. Land Rover Range Rover Sport 2014 Blue in Kinondoni – Cars, Ndingabeipoa Tz | Jiji.co.tz
CAR Repair Home Services 24 Hours
ELIMU BURE/BILA MALIPO
I’ve gained only within four weeks by comfortably working part-time from home. Immediately when I had lost my last business, mtg I was very troubled and thankfully
following website___________ http://Www.Careers12.com
THE KINGDOM IDEOLOGY WILL BE ESTABLISHED THROUGH A NEW CONSTITUTION… WHAT KIND OF TRIBE DO YOU THINK HE’S GOING TO COME FROM?
SERIKALI YA WANYONGE MWAKA 2220
1. Toyota Alphard 2021 White in Kinondoni – Cars, George Mahimbo | Jiji.co.tz
2. Land Rover Range Rover Vogue 2021 Black in Kinondoni – Cars, thebluesanthonio | Jiji.co.tz
3. Land Rover Range Rover 2019 Burgundy in Kinondoni – Cars, Jm Motors Vigo | Jiji.co.tz
4. BMW X5 2008 White in Kinondoni – Cars, George Mahimbo | Jiji.co.tz
5. BMW X5 2007 Gray in Kinondoni – Cars, Cars Guru Tanzania | Jiji.co.tz
6. BMW X5 2015 White in Kinondoni – Cars, Franklin Carsforyou | Jiji.co.tz
7. BMW R-Series 2022 Blue in Kinondoni – Cars, Andrew Kingo Jr | Jiji.co.tz
8. Land Rover Range Rover Sport 2014 Blue in Kinondoni – Cars, Ndingabeipoa Tz | Jiji.co.tz
CAR Repair Home Services 24 Hours
ELIMU BURE/BILA MALIPO..
THE KINGDOM IDEOLOGY WILL BE ESTABLISHED THROUGH A NEW CONSTITUTION… WHAT KIND OF TRIBE DO YOU THINK HE’S GOING TO COME FROM?
Start your home business right now. Spend more time with your family and earn. Start bringing 99Dollars per hr just on a computer.(nQ) Very easy way to make your life happy and earning continuously…
.
.
.
This is where i started…>> http://remarkableincome09.blogspot.com