Kubecha: Madaraja yameondoa changamoto ya mvua

GAIRO: Mkuu wa Wilaya ya Gairo, Japhari Kubecha, amefanya ziara ya ukaguzi wa miradi ya madaraja na barabara wilayani humo, akiongozana na wajumbe wa Kamati ya Usalama ya Wilaya pamoja na mwakilishi wa Meneja wa Tanroads Mkoa wa Morogoro.

Katika ziara hiyo, Mkuu wa Wilaya amejionea ukamilifu wa madaraja ya Nguyami na Chakwale, sambamba na mchakato unaoendelea wa uwekaji lami kwenye barabara ya Gairo–Nongwe.

Kubecha amesema ujenzi wa madaraja hayo umeondoa changamoto kubwa zilizokuwa zikiwakabili wananchi, hususan katika kipindi cha mvua, na kurahisisha usafiri pamoja na shughuli za kiuchumi.

Ametumia fursa hiyo kumshukuru Rais DkSamia Suluhu Hassan, kwa kuendelea kuboresha miundombinu ambayo inaleta maendeleo ya moja kwa moja kwa wananchi wa Wilaya ya Gairo.





Kutana na Madini yaliyofichwa na Wachina Wakati wanajenga Reli ya TAZARA… Katika mto Njombe mkoa wa Njombe zamani ulikuwa IRINGA
https://youtube.com/shorts/E32eZcTDYTs?si=Y5wEiId0qFVHp4xN
Kutana na Madini yaliyofichwa na Wachina Wakati wanajenga Reli ya TAZARA… Katika mto Njombe mkoa wa Njombe zamani ulikuwa IRINGA.
https://youtube.com/shorts/E32eZcTDYTs?si=Y5wEiId0qFVHp4xN
I get paid more than $120 to $130 per hour for working online. I heard about this job 3 months ago and after joining this i have earned easily $15k from this without having online working skills.
This is what I do….. www.join.work27.com
Start working at home with Google! It’s by-far the best job I’ve had. Last Wednesday I got a getting a check for $19400 this – 4 weeks past. I began this 8-months ago and immediately was bringing home at least $220 per hour. I work through this link, go to tech tab for work detail..
Open This Website——≻≻≻≻≻www.hot.cash54.com